Ilikuwa mida gani?
Siri ya kuwakamata majambazi au Mali zako ni wewe Kwa kusaidiwa na Polisi au hata mwenyewe kuweza kuichora ramani mzima ya tukio.
1. Walitumia usafiri gani kufika kwako(most likely pikipiki). Na waliingiaje ndani.
2. Walikuwa wangapi.
3. Walikubananisha vipi. Eleza tukio zima. Eleza angalau bastola ilikuwa ya rangi gani na ukubwa au shape ya silaha. Kama unajua model sema.
4. Pia ukiwaeleza Polisi, andika kiasi kikubwa cha fedha ulizoibiwa. Hii itasambaratisha kundi hasa kwenye mgao. Itasaidia snitching kama utaahidi zawadi.
5. Ulifanya transaction yeyote kubwa hivi karibuni? Ilimhusisha nani na nani?
Kuna makundi ya ujambazi yanayojulikana na Polisi. Haya makundi hufuatiliwa up to two years. Hutumia mbinu na silaha zilezile. Silaha nyingine ni za serikali. Ni vizuri kuelezea methodology yao, sauti zao, silaha, uharaka wao, ukatili wao etc...
Polisi watajua ni kundi gani na linatokea wapi.