Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nibaketa pajero junior cc 600 ne hatari kaziroTinkumanya! Sema nini iwee cha mtu mavi bana pajero ni gali pia.
Aiseee hao sasa ni majambazi wa silaha za moto official. Yaani huo ni ugaidi.walikuwa na silaha za moto wameiba vitu vingi sana
Jambo kuu ni usafiri. Cha muhimu ifanyie service vizuri. Mbona ziko vizuri sana!Khaaaa, kwahio hii ndio Solution boss?
Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
mahakama kazi yake niniHawa Pumbavu sio wakuchekacheka nao, wakikamatwa ni risasi za kichwa mpaka uhakikishe ubongo unasambaa..wananyima watu wema raha za maisha...tukicheka nao watatuzoe na wakituzoea itakuwa ngumu tena kudeal nao.....UNYAMA tu dhidi yao kwa sasa...
Jamaa pumbavu sana hilo mkuuUwe unajitahidi kuficha ujinga wako. Mtu ameibiwa, wewe unaleta porojo.
Pole sana mkuu..Mungu akusaidie uipate.
Dogo acha dharau, unajuaje labda mimi ni Spiderman ,au Batman nataka nimsaidie ndugu yetu kupata hawa majambaka waliokwiba gari?!Mhusikav toa taarifa hizi kwa polisi, sio hapa JF.
Kama hakupiga picha je? Watu bwana utafikiri bidhaa inauzwa[emoji23]. Weka pichaa[emoji23]. Siyo kila mtu anatabia ya kupiga piga picha ya gari lake.Angalau ungeweka na Picha
Pole sana