Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

Walinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani

Pole sana chief....Mungu ni mwema uko salama...bila shaka vitu vyako utavipata.

Bank bila shaka umeshatoa taarifa ili wapige lock account zako zote...
Wapush polisi waanze kufuatilia haraka kama kuna namba ya simu tofauti na yako imehusika kwenye miamala, huyo anaweza kutiwa mkononi chap atoe direction vizuri..
 
Uko serious? asije akatuma pesa na asilipate, kwanini usimuoneshe physically ndio umdai hiyo 200k.?
Mzee hiyo ni mbinu ya kitaalamu sio uchawi na itanikost mda sanaa anyway hiyo hela ni kwa ajili ya bando tu kwani lazima ni dowload file la mistubishi pajero then ni tress chases namba magari mengi yanakuwa na direct signal ambayo inakuwa imefichwa kwenye chases no. Za mistubishi zote made kuanzia elfu 2000 kuja juu. Ila anaona ni usumbufu anaweza omba police wamsidie nilikuwa najitolea tu.
 
Polisi mkishakamata hawa wahusika na kumaliza kazi yenu....pigeni risasi woote na miili yao funga mawe kawapatie samaki msosi dip sea huko wajenge afya.... Mahakama acha zifanye kazi nyingine kuliko kupoteza muda na wajinga hawa...
 
Mzee hiyo ni mbinu ya kitaalamu sio uchawi na itanikost mda sanaa anyway hiyo hela ni kwa ajili ya bando tu kwani lazima ni dowload file la mistubishi pajero then ni tress chases namba magari mengi yanakuwa na direct signal ambayo inakuwa imefichwa kwenye chases no. Za mistubishi zote made kuanzia elfu 2000 kuja juu. Ila anaona ni usumbufu anaweza omba police wamsidie nilikuwa najitolea tu.

nenda inbox kwake muelimishe, kama issue ni bundle unaweza kujitolea tu au mkaona namna gani yakusaidiana...
 
Mzee hiyo ni mbinu ya kitaalamu sio uchawi na itanikost mda sanaa anyway hiyo hela ni kwa ajili ya bando tu kwani lazima ni dowload file la mistubishi pajero then ni tress chases namba magari mengi yanakuwa na direct signal ambayo inakuwa imefichwa kwenye chases no. Za mistubishi zote made kuanzia elfu 2000 kuja juu. Ila anaona ni usumbufu anaweza omba police wamsidie nilikuwa najitolea tu.
Location ya gari utaipataje?
 
Polisi mkishakamata hawa wahusika na kumaliza kazi yenu....pigeni lisasi woote na miili yao funga mawe kawapatie samaki msosi dip sea huko wajenge afya.... Mahakama acha zifanye kazi nyingine kuliko kupoteza muda na wajinga hawa...
Hao kuwaua ni starehe, ni kukata kende unawahasi halafu unavunja mguu mmoja mmoja.
 
nenda inbox kwake muelimishe, kama issue ni bundle unaweza kujitolea tu au mkaona namna gani yakusaidiana...
Si mpaka aombe mwenyewe mzee nikimfuata ataona nataka kumpiga mzee cha msenge aende pale DIT kuna vijana wanasomea automobile watamsadia mimi itanipotezea tu mda na hela hatonipa aombe wasiwe wameshaikatakata vipande.
 
Mkuu kaa ukifahamu kwamba aliyekuchorea hayupo mbali...

Jaribu kuwa makini sana na rafiki zako, ndugu n.k...

Matukio mengi majambazi mpaka kuja na bunduki ni mchoro huo...

1-wamefahamu vipi upo nyumbani?
2-wamefahamu vipi una pesa za bank?
3-wameacha nyumba zoooote wamekuja kuvamia kwako?

Kama wamechukua simu, pekeka taarifa kwa mafundi simu wote wale wanaoflash wape taarifa na kuwaahidi zawadi wakiipata, waachie mawasiliano...

Kama ni iPhone na uliweka find my iPhone 'on' itakuwa na urahisi kukupa taarifa ilipo...


Anyway pole sana, kaa kiumakini.. mali zinatafutwa, hasara roho.
 
Back
Top Bottom