Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na adabu basi wewe. Pajero IO sio gari ndogo ya kufananishwa na vits , ni gari kubwa wenzake na akina RaV 4, cc1970 hadi 2000 utasemaje ni gari ndogo hiyoKwani hiyo pajero io ni garu ya maana basi ,ni kadude tu mithili ya vits sema kapo juu juu,mm iwe bojo
Simple like that! Bora ungemwambia akutumie hiyo chasis no, na ukifanikisha basi akutoe hiyo posho.Ntumie chases no. Yake na laki 2 tu baada ya nusu ntakwambia kko wapi.
Sijui umendika nini ila hiyo ni Pajero Mini ndio ina CC 600 ila Pajero IO ni kubwa ina cc 1970 hadi 2000 na ina ukubwa unakaribia Rav 4. Ni kubwa tu.Nibaketa pajero junior cc 600 ne hatari kaziro
Mwenzako anashida wewe unaleta njaa zako.... Wabongo bwana.Ntumie chases no. Yake na laki 2 tu baada ya nusu ntakwambia kko wapi.
Mtu anakwambia ni gari ipo kama vits......
Sharti la kwanza unaponunua au kumiliki gari ni kuipiga picha za kutosha kila upande kubakia nazo. Hii inasaidia sana kwenye shida kama hizi.Kama hakupiga picha je? Watu bwana utafikiri bidhaa inauzwa[emoji23]. Weka pichaa[emoji23]. Siyo kila mtu anatabia ya kupiga piga picha ya gari lake.
Amenifedhesha sana baba ake mdogo hapa.Simple like that! Bora ungemwambia akutumie hiyo chasis no, na ukifanikisha basi akutoe hiyo posho.
Katika mazingira ya aina hii, siyo vizuri kutoa msaada huku ukitanguliza pesa mbele! Maana na matapeli nao wanaweza kuchukulia jambo hili kama fursa kwao.
Amesema imeibiwa nyumbani kwake mda huo aliopost. Au mimi ndio sijaelewa?Duh aiseee pole sana. I hope umeshatoa taarifa kitu cha polisi na tayari wameshaweka macho maeneo yyote ambayo gari inaweza pitishwa ndani ya muda huu.....
Unaweza tupatia details zaidi kuwa gari ulipaki wapi katika hilo eneo, wewe ulikuwa wapi na ilichukua muda gani kugundua umeibiwa.
Ufunguo uliweka wapi?!
Ndani ya hizi siku kadhaa nyuma ni maeneo gani uliachia ufungua kwa mtu yaani funguo hukuwa nazo mikononi mwako ?!
Haya maswali yatatoa mwanga tujue namna ya kukushauri cha kufanya.
Uko serious? asije akatuma pesa na asilipate, kwanini usimuoneshe physically ndio umdai hiyo 200k.?Ntumie chases no. Yake na laki 2 tu baada ya nusu ntakwambia kko wapi.
Kaona Fursah, Lakini huenda anasema ukweli pia.Mwenzako anashida wewe unaleta njaa zako.... Wabongo bwana.
Hiyo yenyewe iliyoibiwa inazidiwa bei na Corolla. Sijipe moyoKwa Hali ya Sasa hivi, ni vizuri tununue magari ya bei nafuu. Beetle, Toyota Starlet, Toyota Corolla, nk. Hata spea zake ni bei nafuu.
Hata akitoa kwa serikali hii hawatashughulikia, ajipange anunue nyingine tu.TOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA MKUU....ALLAH AKUFANYIE WEPESI VITU VYAKO VIPATIKANE HARAKA INSHA ALLAH.