Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Wakiingia ATM tu unao Bro, pole sana pia. Vipi simu kwanini usijaribu kui track kama bado ipo on itakusaidia, fanya kui search.Walinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani
Ubaya wa ushauri unaweza kuta hata mwizi wako yupo JF anafuatilia uzi, akachukua tahadhari.
Pole sana Mkuu.