zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
Pole sana kwa tukio hilo...
Watu wanarudia kazi zao za asili...
Watu wanarudia kazi zao za asili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazimaje switch ya tank la Mafuta mkuu? Nipe somoPole sana ndo maana mm nikipak lazma nizime swichi ya waya ya pump ya mafuta ili hata ukiwasha utawasha adi ufe haliwaki
Hizo mansheni za makongo niza ujanja ujanja?Wazee ndio michongo yao hiyo hata ile ya kuvamia mtu akiwa katoka kutoa pesa bank ni michongo ya wazee na mateller wanaotaka kutembelea harrier tako la nyani huku wakijenga mansion makongo juu
Hebu fafanua hapo,ina maana huyo mwizi atatembeza bila battery au ?GPS nyingi gari ikishatolewa battery ndio basi....
Wakiingia ATM tu unao Bro, pole sana pia. Vipi simu kwanini usijaribu kui track kama bado ipo on itakusaidia, fanya kui search.
Ubaya wa ushauri unaweza kuta hata mwizi wako yupo JF anafuatilia uzi, akachukua tahadhari.
Pole sana Mkuu.
Hebu fafanua hapo,ina maana huyo mwizi atatembeza bila battery au ?
Daah pole Sana Mkuu. Any update? Mungu afanikishe ulipate gari na vyote vilivyo vyako. SadWalinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani
kwani wao hawana akili ?
wanatoa betri, wana dismanto gari zima, spare parts unazikuta gerezani/ilala kesho yake
You better shut up!Kwa taatifa yako asilimia kubwa ya hao unaosemwa walikuwa wanaokotwa kwenye corona ni majambazi.
GPS niliyokuwa natumia, hata utoe bettry ilikuwa aihitaji battery kufanya kaziGPS nyingi gari ikishatolewa battery ndio basi....
Hata ukifunga hivyo vitu wanaiba tu,wezi wanajua jinsi ya kudisable hivyo vituOMG !! Hukufunga GPS ? Trucking system?
Pole sana....
Mkuu kuna GPS hazi hitaji betri, yangu ilikuwa inafanya kazi bila bettrykwani wao hawana akili ?
wanatoa betri, wana dismanto gari zima, spare parts unazikuta gerezani/ilala kesho yake
hadi wajua ulipo fichiaHata ukifunga hivyo vitu wanaiba tu,wezi wanajua jinsi ya kudisable hivyo vitu
Mkuu nimekupenda kwa jibu murua. Safi Sana. Mikenge mwingine haijui jinsi MTU unapigana kupata Mali halafu mafala wanajichukulia. Mtu anayejua uchungu wa Mali hawezi kujibu hivyo. Wanaojibu hovyo hata baskeli hawana. Na roho zao mbaya hawatakaa wapate. Yaani binafsi nimepata ganzi maana vigari vyangu hapa MTU akiniibia hata Moja ni hasara katika assets zangu. Hivyo financial statements zangu zitayumba. Yaani mijitu mwingine hovyo Sana Mkuu. Ni kuyapiga nyundo za majibu fresh kama ya kwako. Nimeipenda hiyo.Wacha upumbavu Kenge mwitu wewe. Same year, same month and same date Lissu amepigwa risasi nimeibiwa Cruiser ya safari, 6 seater ndo kwanza ilikua ina wiki tangu itoke hanspol kukatwa. Halafu unaongea ushabiki hapa. Unaongea utopolo tu kwasababu huna chochote unaweza ibiwa zaidi ya hizo pumbu unening'iniza hapo. Pimbi maji wewe
GPS niliyokuwa natumia, hata utoe bettry ilikuwa aihitaji battery kufanya kazi
Huyo mala...ya wa lumumba anamiliki papa tu,ujambazi ulikuepo sema media zilikua kimya kusemaWacha upumbavu Kenge mwitu wewe. Same year, same month and same date Lissu amepigwa risasi nimeibiwa Cruiser ya safari, 6 seater ndo kwanza ilikua ina wiki tangu itoke hanspol kukatwa. Halafu unaongea ushabiki hapa. Unaongea utopolo tu kwasababu huna chochote unaweza ibiwa zaidi ya hizo pumbu unening'iniza hapo. Pimbi maji wewe
Acha ujinga. Wakati wa msiba hawa ndio walikuwa wanashangilia. Mbona hukupanua hilo domo kukemea. Leo aiibiwe kibaby walker chake mjifanye kumhurumiaYou better shut up!
Una roho ya kimaskini sasa dogo! Kwahio ulitaka tumshangilie kila MTU? Acha wendawazimu, acha wivu wa kijinga! Kushangilia Kubali uhusiano gani na kuibiwa? PumbavuAcha ujinga. Wakati wa msiba hawa ndio walikuwa wanashangilia. Mbona hukupanua hilo como kukemea. Leo aiibiwe kibaby walker chake mbjifanyi kumhurumia