pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 282
- 561
- Thread starter
-
- #101
Walinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwaniPole ndugu, ila maswali yangu ni
1.Ufunguo walipatia wapi?
2.uliliweka sehemu gani?
Looo!, kazi hiyoWalinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani
Kwa taatifa yako asilimia kubwa ya hao unaosema walikuwa wanaokotwa kwenye viroba ni majambazi.Kwani watu waliokua wanaokotwa kwenye viroba ulikua utawala wa nani?
Waliokua wanatekwa Mo,Roma nk ulikua utawala wa nani?
Lissu alipigwa risasi pale dodoma ulikua utawala wa nani?
Eti Kuna watu hawajui pajero au land cruiser ilivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah, hatari sana.Walinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani
Achana na huyu takatakaKwani watu waliokua wanaokotwa kwenye viroba ulikua utawala wa nani?
Waliokua wanatekwa Mo,Roma nk ulikua utawala wa nani?
Lissu alipigwa risasi pale dodoma ulikua utawala wa nani?
Duh pole ndugu.walikuwa na silaha za moto wameiba vitu vingi sana
Walinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani
Mzee hiyo ni mbinu ya kitaalamu sio uchawi na itanikost mda sanaa anyway hiyo hela ni kwa ajili ya bando tu kwani lazima ni dowload file la mistubishi pajero then ni tress chases namba magari mengi yanakuwa na direct signal ambayo inakuwa imefichwa kwenye chases no. Za mistubishi zote made kuanzia elfu 2000 kuja juu. Ila anaona ni usumbufu anaweza omba police wamsidie nilikuwa najitolea tu.Uko serious? asije akatuma pesa na asilipate, kwanini usimuoneshe physically ndio umdai hiyo 200k.?
Pajero hasa mistubishi kuanzia 2000 kuja juu naweza iwasha mie bila ufungua kwa kitumia zile namba za kwenye mlengo ili mradi mfumu wake wa umeme uwe active.Pole ndugu, ila maswali yangu ni
1.Ufunguo walipatia wapi?
2.uliliweka sehemu gani?
Mzee hiyo ni mbinu ya kitaalamu sio uchawi na itanikost mda sanaa anyway hiyo hela ni kwa ajili ya bando tu kwani lazima ni dowload file la mistubishi pajero then ni tress chases namba magari mengi yanakuwa na direct signal ambayo inakuwa imefichwa kwenye chases no. Za mistubishi zote made kuanzia elfu 2000 kuja juu. Ila anaona ni usumbufu anaweza omba police wamsidie nilikuwa najitolea tu.
Location ya gari utaipataje?Mzee hiyo ni mbinu ya kitaalamu sio uchawi na itanikost mda sanaa anyway hiyo hela ni kwa ajili ya bando tu kwani lazima ni dowload file la mistubishi pajero then ni tress chases namba magari mengi yanakuwa na direct signal ambayo inakuwa imefichwa kwenye chases no. Za mistubishi zote made kuanzia elfu 2000 kuja juu. Ila anaona ni usumbufu anaweza omba police wamsidie nilikuwa najitolea tu.
Hao kuwaua ni starehe, ni kukata kende unawahasi halafu unavunja mguu mmoja mmoja.Polisi mkishakamata hawa wahusika na kumaliza kazi yenu....pigeni lisasi woote na miili yao funga mawe kawapatie samaki msosi dip sea huko wajenge afya.... Mahakama acha zifanye kazi nyingine kuliko kupoteza muda na wajinga hawa...
Si mpaka aombe mwenyewe mzee nikimfuata ataona nataka kumpiga mzee cha msenge aende pale DIT kuna vijana wanasomea automobile watamsadia mimi itanipotezea tu mda na hela hatonipa aombe wasiwe wameshaikatakata vipande.nenda inbox kwake muelimishe, kama issue ni bundle unaweza kujitolea tu au mkaona namna gani yakusaidiana...
Tulia kijana labda kama wataharibu mfumo wa umeme kwenye gari .mimi hata kama wataharibu yani ikiwashwa tu redio ya gari wamekwisha nakwambia gari ilipo.ila inacost mda na pesa unaweza kaa sehemu moja masaa sita unasubiri alarm tu ilie.Location ya gari utaipataje?
Mm sio mtaalam wa magari,naona umbie hii swichi ipo wapi?Pole sana ndo maana mm nikipak lazma nizime swichi ya waya ya pump ya mafuta ili hata ukiwasha utawasha adi ufe haliwaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakikamatwa naamuru wafirwxxx tumechoka hawa wangese.
Pole sana kiongoziwalikuwa na silaha za moto wameiba vitu vingi sana