100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Transmitter inatuma mawimbi umbali huo kweli?Tulia kijana labda kama wataharibu mfumo wa umeme kwenye gari .mimi hata kama wataharibu yani ikiwashwa tu redio ya gari wamekwisha nakwambia gari ilipo.ila inacost mda na pesa unaweza kaa sehemu moja masaa sita unasubiri alarm tu ilie.
Uliipata mkuu?Wacha upumbavu Kenge mwitu wewe. Same year, same month and same date Lissu amepigwa risasi nimeibiwa Cruiser ya safari, 6 seater ndo kwanza ilikua ina wiki tangu itoke hanspol kukatwa. Halafu unaongea ushabiki hapa. Unaongea utopolo tu kwasababu huna chochote unaweza ibiwa zaidi ya hizo pumbu unening'iniza hapo. Pimbi maji wewe
Muongo hujawahi kumiliki hata baiskeli nyumbu weweWacha upumbavu Kenge mwitu wewe. Same year, same month and same date Lissu amepigwa risasi nimeibiwa Cruiser ya safari, 6 seater ndo kwanza ilikua ina wiki tangu itoke hanspol kukatwa. Halafu unaongea ushabiki hapa. Unaongea utopolo tu kwasababu huna chochote unaweza ibiwa zaidi ya hizo pumbu unening'iniza hapo. Pimbi maji wewe
Sio kwamba ww ndio qummerOna hii matackle sasa
Sili mashogaSio kwamba ww ndio qummer
Msamehe bure ndo hao walikuwa wanamiona Magufuli kama mungumtu.Wacha upumbavu Kenge mwitu wewe. Same year, same month and same date Lissu amepigwa risasi nimeibiwa Cruiser ya safari, 6 seater ndo kwanza ilikua ina wiki tangu itoke hanspol kukatwa. Halafu unaongea ushabiki hapa. Unaongea utopolo tu kwasababu huna chochote unaweza ibiwa zaidi ya hizo pumbu unening'iniza hapo. Pimbi maji wewe
Mkuu hiyo switch inakua upande gani? Msaada pleasePole sana ndo maana mm nikipak lazma nizime swichi ya waya ya pump ya mafuta ili hata ukiwasha utawasha adi ufe haliwaki
Uwe unajitahidi kuficha ujinga wako. Mtu ameibiwa, wewe unaleta porojo.
Nenda kamfukue...aje kutusaidia
Kumbe huyu ni moja ya washangiliaji.
Leo atajua hajui. Tena kapigwa mchana kweupe.
Acha kuingiza siasa za kumtukuza huyo magufuli wenu kila sehemu bhana! Mtu ameibiwa gari, nyinyi mnaleta siasa za kumtukuza marehemu!
Eti mnyonge mnyongeni.....!!! Mkiulizwa kuhusu zilipoTrillion 1.5 mnaanza kujikanyaga kanyaga hapa!
Kumbe wajinga mko wengi?
Alishindwa kujenga taasisi gani.
Wizi na ujambazi uliokuwa unafanyika awamu ya nne uliusikia awamu ya tano?
Wezi na majambazi wamerudi kipindi hichi.
Kwani watu waliokua wanaokotwa kwenye viroba ulikua utawala wa nani?
Waliokua wanatekwa Mo,Roma nk ulikua utawala wa nani?
Lissu alipigwa risasi pale dodoma ulikua utawala wa nani?
Ameitaja mbona... T893 DWTKiongozi Pole
NUMBER Ya Gari Itaje
Pole mkuu..Natumai namba za siri haukuwapa za ukweli.Walinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani