Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

Tulia kijana labda kama wataharibu mfumo wa umeme kwenye gari .mimi hata kama wataharibu yani ikiwashwa tu redio ya gari wamekwisha nakwambia gari ilipo.ila inacost mda na pesa unaweza kaa sehemu moja masaa sita unasubiri alarm tu ilie.
Transmitter inatuma mawimbi umbali huo kweli?

Coordinates unazipataje?
 
Uliipata mkuu?
 
Muongo hujawahi kumiliki hata baiskeli nyumbu wewe
 
Msamehe bure ndo hao walikuwa wanamiona Magufuli kama mungumtu.
 
Acha kuingiza siasa za kumtukuza huyo magufuli wenu kila sehemu bhana! Mtu ameibiwa gari, nyinyi mnaleta siasa za kumtukuza marehemu!

Eti mnyonge mnyongeni.....!!! Mkiulizwa kuhusu zilipoTrillion 1.5 mnaanza kujikanyaga kanyaga hapa!

kwani zilipo 9tril unajua???
 
Kumbe wajinga mko wengi?
Alishindwa kujenga taasisi gani.

Wizi na ujambazi uliokuwa unafanyika awamu ya nne uliusikia awamu ya tano?

Wezi na majambazi wamerudi kipindi hichi.

achana na mazwazwa hayo,mpaka liibiwe mbele ya watoto ndio akili inakaa sawa.
 
Kwani watu waliokua wanaokotwa kwenye viroba ulikua utawala wa nani?

Waliokua wanatekwa Mo,Roma nk ulikua utawala wa nani?
Lissu alipigwa risasi pale dodoma ulikua utawala wa nani?

sasa kama hao uliotaja wako huru na ujambazi ndio huu,kipi bora???

tikisa bichwa lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…