Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Wakiingia ATM tu unao Bro, pole sana pia. Vipi simu kwanini usijaribu kui track kama bado ipo on itakusaidia, fanya kui search.Walinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani
Mmiliki wa Super Sam nae alikua jambazi?Kwa taatifa yako asilimia kubwa ya hao unaosemwa walikuwa wanaokotwa kwenye corona ni majambazi.
Kwa taatifa yako asilimia kubwa ya hao unaosemwa walikuwa wanaokotwa kwenye corona ni majambazi.
Ana maanisha haya matukio yalipungua kipindi Cha utawala wake.una ujinga mwingi Sana Magufuli anaingiaje hapa Wewe kichaa?
Kichwa chako kimekajaa funza badala ya akili Kila kitu unaleta siasa zako uchwara hapa
Shwain!
Anyway jamani msaada atakayeiona hiyo gari atoe taarifa Kwa namba tajwa hapo!
Muacheni apumzikePole sana Boss uhalifu umekua mkubwa Tanzania na hali inatisha sana kwa ufupi suala la usalama limekua changamoto magufuli na mabaya yake aliua mitandao ya kishenzi ya kihalifu lakini kwa sasa hapana.
Kwahiyo sisi wenye vitz hatuna magari?Kwake yeye ni gari,JF kila mtu ni tajiri
Wanaowatetea wanajulikana Tena Hadi chama wanachoshabikia.Halafu wakikamatwa na kuuawa Kuna watetezi wa haki za binadamu wanaanza kuleta ujinga
Duh pole sana mkuu M/Mungu atakusaidia utaipataNi gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
View attachment 1999715
Kuiba Ni dhambi au siyo dhambi?Kuua ni dhambi, wakatwe mikono
Hata usijisumbue na huyo mzee anaekwambia huwa anazima switch ya mafuta ukiwekewa pipe kichwan unanyoosha maelezo had ulipoficha kadi yako ya clinic ukiwa mdogoMm sio mtaalam wa magari,naona umbie hii swichi ipo wapi?
Au umefanya modifications gari yako?
Naomba utusaidie na sie wengine tujue
Unazimia kwa wapi kiongozi?Pole sana ndo maana mm nikipak lazma nizime swichi ya waya ya pump ya mafuta ili hata ukiwasha utawasha adi ufe haliwaki
1.
Nina mashaka sana na huyu aliyeuliza hilo swali.Mkuu hebu tulia basi umtie moyo mwenzio,kwani kwa haraka haraka anayeiba ni nani?
MzeePole sana ndo maana mm nikipak lazma nizime swichi ya waya ya pump ya mafuta ili hata ukiwasha utawasha adi ufe haliwaki