Nimeshawahi kuibiwa gari najua machungu yake. Nilifuatilia sana nilitumia pesa mpk ningeweza kununua hata gari nyingine ndogo na nilichemsha. Mpaka leo sijaipata ila nilifanikiwa sanq kuuelewa mfumo wa wezi wa magari na ushirika wao na wazee
Eti mtu anadharau hiyo pajero anasema ingekuwa v8 ingekuaje,kuna watu wanajifanya kina bakhresa sana wakati hata mikokoteni hawanaKwahiyo sisi wenye vitz hatuna magari?
Yaani mtu hafikirii mwenzake yupo kwenye hali gani anaropoka tu,kuna watu ustaarabu umewapitia pembeni mno mkuuNi ujinga tu kumdhihaki mtu aliyepoteza mali yake.
Huenda tuna watoto humu.
.
Pole sana
Kama yeye hiyo pajero siyo chochote kwa, amsaidie kwa kumnunulia nyingine, ni ni utoto tu.Eti mtu anadharau hiyo pajero anasema ingekuwa v8 ingekuaje,kuna watu wanajifanya kina bakhresa sana wakati hata mikokoteni hawana
Mambo ya ajabu wana mkuuKama yeye hiyo pajero siyo chochote kwa, amsaidie kwa kumnunulia nyingine, ni ni utoto tu.
Ikivuka usiku wa leo kesho utakuta vipuri vipo madukani haya majizi ni ya kuuaNi gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
View attachment 1999715
Wazee ndio michongo yao hiyo hata ile ya kuvamia mtu akiwa katoka kutoa pesa bank ni michongo ya wazee na mateller wanaotaka kutembelea harrier tako la nyani huku wakijenga mansion makongo juu
Pole sana bro, shukuru Mungu kikubwa wamekuacha hai na siraha zao za moto! Vitu vinatafutwa tu japokua itakucost ila ndiyo hakuna namna..walikuwa na silaha za moto wameiba vitu vingi sana
Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
View attachment 1999715
Duh aiseee pole sana. I hope umeshatoa taarifa kitu cha polisi na tayari wameshaweka macho maeneo yyote ambayo gari inaweza pitishwa ndani ya muda huu.....
Unaweza tupatia details zaidi kuwa gari ulipaki wapi katika hilo eneo, wewe ulikuwa wapi na ilichukua muda gani kugundua umeibiwa.
Ufunguo uliweka wapi?!
Ndani ya hizi siku kadhaa nyuma ni maeneo gani uliachia ufungua kwa mtu yaani funguo hukuwa nazo mikononi mwako ?!
Haya maswali yatatoa mwanga tujue namna ya kukushauri cha kufanya.
OMG !! Hukufunga GPS ? Trucking system?
Pole sana.....
kwani wao hawana akili ?Pole sana..
Ushauri:
Tufungeni GPS jamani kwenye gari zetu, japo kidogo husaidia yanapotokea majanga km haya
Namba za siri i hope umewapa za uongoWalinifunga kamba wakaniuliza ufunguo ulipo, s imu, kad I za banki namba za siri bunduki ikiwa kichwani
Wameiba vitu au na gari lenyewe. Kama halina mafuta njoo Jliana yawezekana wakaliezeka hapo.