Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli

Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli

Sijui kuna mitutusa inajifunza kuchangia mada na kutoa ushauri...
 
Mara leo umeacha kazi umeanza umachinga baada ya siku mbili umepewa hela za Halmashauri mkononi sielewi ni mazingira gani utakua na pesa ya Serikali mkononi yaani zitoke OC huko harafu wakupe mkononi? Labda Halmashauri za Somalia.
 
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.

Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]

Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.

Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]
Papuchi bana ,haijawahi kumuacha mtu salama.Pole ndugu yangu hayo ndo masaibu yetu wanaume.
 
Kashikaji uwa ni kaongo sana kana visa vingi vya kusadikika ila kubwa kuliko kamewahi kusema kana Bipolar disorder hivyo tulikashauri na dawa kukapa.

Hivyo kachukulieni kama kalivyo tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.

Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]

Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.

Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]
pole sana,hiyo pesa sahau
 
Back
Top Bottom