Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuonea wivu ulipokuja na hiyo gari nkaona nikuibie na mimi nikanunue crown,usijali nikilichoka nitaliuza pesa nitakayopata nitakupaSijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.
Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x😩😩😩😩😩
Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.
Nafwa nitafungwa mie😫😫😫
Unatufikirisha unajua?Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni)
Unajua ulichoandika juu na unachokifanya hapa haviendani unajua Bei ya Crown ni kiasi gani?ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x
Unatembelea Crown alafu unalialia hivi mboni unaishusha thamani Crown?Nafwa nitafungwa mie
Crown Athletes, Briefcase, Mil.5, dah! Mkuu wewe ndio Kabila la kulekule eeenh!?Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.
Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.
Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]
Yaani aibiwe 5 milioni halafu apate nguvu za kuanzisha uzi na kujibu comments ..Hii ni chai ya maziwa
Hapo ndipo nilipojua ni chai, majuzi tu nilidondosha walleti ikiwa na elfu60 nilihisi kichwa kuwaka moto Hadi Leo nauguliaYaani aibiwe 5 milioni halafu apate nguvu za kuanzisha uzi na kujibu comments ..
NJAA MBAYA Sana [emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa nafikiri kama wewe mpaka tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu lilipotokea na hatua zilizochukuliwa.Hufungwi.
Hivi Stand kubwa kama Magufuli haina cameras?
Bila shaka wanayo. Nenda wakuangalizie. Pengine wanaweza wasitambulike ila ikakuhakikishia usalama wako.
Ila ulichokifanya ni uzembe wa hali ya juu.
Uza crown lipa pesa za ofisi.
Halafu lilivyo PUUZI kiwango cha LAMIAhaa... kumbe mkuu Mzimu wa Kolelo umetag post ya Koses ya May 21, 2023 ambayo alipost akionyesha yeye ni mwanamke anatafuta mwanaume jobless kumjoin London, leo anapost akiwa mwanaume aliyeibiwa ela kwenye briefcase Magufuli Bus Terminus akimsindikiza mkewe kupanda basi la kwenda Kondoa.
Kwahiyo Koses ni Hermaphrodite!
Astaghafilullah Wahariri waongezwe JF ili kuchuja, kubaini na kukataa posts za kuchafua watu na taasisi.
OGOPA SANA TEKNOLOJIASijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.
Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x😩😩😩😩😩
Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.
Nafwa nitafungwa mie😫😫😫
NdioKumbe jamaa choko tu
Sijui asee GENTAMYCIME au G70 hawa ni machoko.Ni kwamba wanakuwa hawajui kuwa kuna uwezekano wa kuangalia nyuzi zao zilizopita au ni kujitoa ufahamu tu??