Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli

Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli

Ujinga mtupu, sasa unalia nini wakati obviously hauko serious na maisha. Au ulitaka tujue unamiliki Toyota crown
 
Millioni 5 unaweka kwenye briefcase kweli? Huoni kama brifcase liliamua kukataa udhalilishaji uliolifanyia? Hii nchi uhuru umesidi sana.
 
Pole Sana, Mungu akupe nguvu utapata zingine

Chai hii
 
Kwa iyo ulisahau Ile kauli ya abiria chunga mzigo yako kweli wafwa
 
Daaah hakuna hata zawadi nono kwa atakae kuletea.
 
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.

Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x😩😩😩😩😩

Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.

Nafwa nitafungwa mie😫😫😫
Pole .Hukiwa na kiasi kikubwa Cha pesa husijiamini kuwa nacho na kusafiri nacho Ni kosa kubwa kwani dunia Ina Mambo mengi Sana jitaidi uwe na pesa soft siyo cash maana hizo Zina usalama.Pole sana
 
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.

Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]

Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.

Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]
Ndo ukubwa
 
Pole Sana, Mungu akupe nguvu utapata zingine

Ila wee jamaa unajua kutupanga sana. Au kuna mashindano ya nyuzi humu JF tuambizane fasta.
 
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.

Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]

Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.

Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]
Pole sana, next time usitembee na maburungutu(cash).
 
Nimepoteza dakika zangu 5 kumuonea huruma, kumbe ni choko tu! Pambavu.....
 
Kwanini unahisi ni karma? Kuna Jambo gani baya ulishawahi kufanya?
NOTE: Karma is real
 
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.

Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x😩😩😩😩😩

Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.

Nafwa nitafungwa mie😫😫😫
Huo ni uzembe.. kiwango cha pesa chochote kikizidi elfu 50 hutakiwi kitembea nacho.. wewe 5M unatembea nayo are you serious?

Nawapomgea waizi kwa ujanja waliotumia...mungu awajalie huko walipo wafanye vitu vya maendeleo
 
huku ni JF kwa magreat thinkers.
watu wameshamshtukia huyu jamaa ni mwongo. mara aanzishe thread ameacha kazi, mara aseme anatafuta mume, tisa kumi kwenye hii thread yake anasema alikuwa na mkewe halafu kaibiwa pesa za kazini.

yote kwa yote, tunaburudika.
 
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.

Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]

Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.

Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]
Pole sana mkuu. Siku nyingine uwr unakumbuka kufunga vizuri milango ya gari, sio wakati wa kupaki tu, hata wakati ukiwa unaendesha barabarani, ni vizuri kwa usalama wako na mali zako zilizo ndani ya gari.

Kwakuwa hiyo gari ni ya kwako, uza hiyo gari, hela utakazopata, toa hapo hiyo 5m ukalipe ofisini halafu chenji utakayobaki nayo nunua gari nyingine ndogo kama vitz au corolla, ikusaidie kwa usafiri.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom