Basima Ogenze
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 786
- 881
Ujinga mtupu, sasa unalia nini wakati obviously hauko serious na maisha. Au ulitaka tujue unamiliki Toyota crown
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai hiiPole Sana, Mungu akupe nguvu utapata zingine
Nimeacha kazi rasmi, naenda kwenye umachinga
Tarehe ya leo itabaki kwenye kumbukumbu zangu kuwa tarehe ya mwisho kuwepo kazini. Aisee, baada ya kuchoka na uvivu uliokithiri leo natangaza rasmi kuacha kazi wakuu. Kwasasa nitakuwa napatikana Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kama machinga mdogo tu wa earphones, redio na vitu vingine vidogo...www.jamiiforums.com
Wewe ndo yule eti mimi mkristo lakini naipinga Israel. Sasa ukiwa mkristo iweje sasa nyau weweeNjoo nikufuge na wewe
Nakereka kweli naacha hata kusoma kwenyeweMimi story za kukopi na kupaste sipendi..
Watu mnajihangaisha kutoa ushauri[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Pole .Hukiwa na kiasi kikubwa Cha pesa husijiamini kuwa nacho na kusafiri nacho Ni kosa kubwa kwani dunia Ina Mambo mengi Sana jitaidi uwe na pesa soft siyo cash maana hizo Zina usalama.Pole sanaSijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.
Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x😩😩😩😩😩
Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.
Nafwa nitafungwa mie😫😫😫
Ndo ukubwaSijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.
Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.
Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]
Tena! Utapeli juu ya wizi!Una laki tano tukamroge huyo mwivi?
Fanyia kazi hili wazoUza crown lipa pesa za ofisi.
Ila wee jamaa unajua kutupanga sana. Au kuna mashindano ya nyuzi humu JF tuambizane fasta.Pole Sana, Mungu akupe nguvu utapata zingine
Nimeacha kazi rasmi, naenda kwenye umachinga
Tarehe ya leo itabaki kwenye kumbukumbu zangu kuwa tarehe ya mwisho kuwepo kazini. Aisee, baada ya kuchoka na uvivu uliokithiri leo natangaza rasmi kuacha kazi wakuu. Kwasasa nitakuwa napatikana Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kama machinga mdogo tu wa earphones, redio na vitu vingine vidogo...www.jamiiforums.com
Pole sana, next time usitembee na maburungutu(cash).Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.
Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.
Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]
Huo ni uzembe.. kiwango cha pesa chochote kikizidi elfu 50 hutakiwi kitembea nacho.. wewe 5M unatembea nayo are you serious?Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.
Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x😩😩😩😩😩
Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.
Nafwa nitafungwa mie😫😫😫
Pole sana mkuu. Siku nyingine uwr unakumbuka kufunga vizuri milango ya gari, sio wakati wa kupaki tu, hata wakati ukiwa unaendesha barabarani, ni vizuri kwa usalama wako na mali zako zilizo ndani ya gari.Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu.
Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife alikuwa anaelekea kondoa huko kwao kusalimia na pesa niliziweka kwenye briefcase yangu sasa nikashuka na wife kwenda kumsindikiza kwenye gari ABM coach la Dodoma nikasahau kufunga mlango wa gari aisee lahaula kurudi nikakuta mlango upo wazi briefcase yangu haipo na kila kila kitu hakipo na halafu ukizingatia hizo pesa ni za mapato ofisini nilikuwa napeleka ofisi za halmashauri x[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Wakuu naombeni kama kuna mtu ataiona please mnicheki Pm tafadhali wakuu.
Nafwa nitafungwa mie[emoji31][emoji31][emoji31]