MAKONGOLOSII
JF-Expert Member
- Jul 31, 2024
- 413
- 640
Ebwana we hio ikoje uwezajeBora tigo mimi ukinipa lain ya eatel yoyote na usinipe nida wala pin yako ya eatel money kama unapesa humo naitoa safi kabisa bila kusumbuka na hata ukienda polis watakwambia umetoa mwenyewe kiufupi kampun zetu za simu haziko security sana kwa wajanja
Tigo nitawashitaki mpaka kieleweke.Hili mawakala wote wanalijua. Mtu akipata namb yako ya nida anatoa hela mm nimepruv kwa macho yangu. Bidada kaenda kwa wakala na sim ya baba yake na katoa hela
Haupo sahihi. Kwa hiyo nilimpa mwizi password yangu???It is almost impossible.
Uliibiwa kwenye mazingira gani,
Inawezekana ulikua umelewa kabla ya kuipoteza simu.
Simu imepotea maeneo ya stendi ya mabasiHaupo sahihi. Kwa hiyo nilimpa mwizi password yangu???
Nilishituka sina simu baada ya muda kama saa mojaUkiwa na namba ya simu wale mawakala wa kusajili laini wanaweza kukutajia namba ya nida. Yani kimantiki wewe ulichelewa kuchukua maamuzi ya kulinda laini baada ya kuibiwa. Bila shaka hapo baada ya kuiba mwizi alitaguta wakala akapata namba ya nida na detail zako kisha akafanya process ya kutengeneza password mpya na kutoa hela baadae. Scenario kama hii ni rahisi kufanikiwa
Namba mbili za mwisho za NIDA ndio muhimu; hizo nyingine za mwanzoni ni rahisi sana kuzijuaHuyu mwizi kapata wapi NIDA yangu?
Kuna jamaa alikuja south kwa kukimbia kesi ya wizi wa mitandao anasema Magomeni yeye alikuwa ananunua line baada ya vibaka kuiba simu line wanamuuzia yeye anatoa pesa au kama haina pesa anaomba kutumiwa pesa na ndugu sometimes no sometimes yesKuna kibaka mmoja, alikua akiiba tu simu cha kwanza ni kutoa hela iwe tigo iwe voda cha kwanza anafanya muamala.....
Sijui hata ni akili gani zinatumika.
Sidhani kama una faida yoyoteHivi ule usajili wa alama za vidole wa line za sim haikusaidia
Ova
Usinichekeshe aisee nina hasira sikuwa na demu!Muulize demu wako vzr
Kweli ila iyo inafanyika kwa hela ambazo ni kawaida wanaangalia ila laini ikiwa kuanzaia laki 3 na kuendelea wanakwambia tembelea dukani kwetu kwa msaada zaidHiyo mbona rahisi sana Cha kwanza anatoa line kama simu yako Ina password,anajipigia ,
Akishapata namba yako anaenda Kwa wakala wale wasajiri Laini anajifanya amesahau namba NIDA yake ,wale akiwapa namba yako tu wakicheki kwenye vile vifamoko vyao NIDA yako hiyo chap inakuja na majina yako yote matatu,
Baadae ya hapo anapigia tu Customer care na kuwaambia amesahau password yake ,wao wanachoomba ni namba za NIDA ,majina matatu na mwaka wa kuzaliwa ambao ni tayari upo Kwa namba ya NIDA yako ,
Baadae ya hapo anabadilishiwa password ye anaenda kutoa pesa yako Kwa Raha mustareheee.
Hiyo process yote kwa mwizi mzoefu haizidi ata Nusu saa .
Nb
Ukipotelewa na simu pigia customer care mapema wablock line yako kuepuka mambo kama hizi.
Asante. Wacha nibaki. na traditional banking na cryptocurrency. Ila Tigo wanirudishie pesa zangu. Siwaachi ng'oo.Nimeona koment nyingi sana humu kuwalaumu tigo saiv attacker ni wengi mno wana tumia tool za cybersecurity ku generate password na akifungua simu yako anaanza kutest kuanzia email nk akifanikiwa kuona zimekubal ujue umekwisha..
Watu wengi hufanya password za mfanono sana ko mtu ambae ana utaalamu mkubwa ni rahis sana kutumia software mbali mbali kutest na kupata nywira zako
makosa yapo kwako ungetoa taarifa mapema now day dunia ipo kweny technology ukichangany umekwisha kaka..
Pole kwanza piga moyo konde jipange upya
Line yangu ilikuwa na zaidi ya laki tatuKweli ila iyo inafanyika kwa hela ambazo ni kawaida wanaangalia ila laini ikiwa kuanzaia laki 3 na kuendelea wanakwambia tembelea dukani kwetu kwa msaada zaid
huko hawafiki maana kufika huko ni labda uwe unarenew au usajili lainiHivi ule usajili wa alama za vidole wa line za sim haikusaidia
Ova
pole sana mkuuNilishituka sina simu baada ya muda kama saa moja
Asante kwa taarifa. TIGO wajiandae kunirudishia pesa zangu tena upesi. Kwa hili sina mzaha hata kidogomtu akishajua nida no yako tu zmekwishwaaa,,,,ipo hivi hao majambazi wanakuwa lao moja na hawa wanaosajili line...hatua ya kwanza wanayofanya hao majambazi ni kucheck nida no yako kwa kupitia no zako za simu hii huduma wanayo mawakala wote wanaosajili line mtaani...wakishaijua nida no yako wanainote pembeni...hiyo nida no yako ina kila kitu chako ambapo ni tarehe ya kuzaliwa mwezi na mwaka na itakuja na majina yako yote matatu...hatua inayofuatia ni wanapiga customercare ambapo atajitambulisha kama mhusika wa line na amesahau no ya siri....customercare watamwuliza majina matatu na tarehe aliyozaliwa atajibu so coz tayari anavyo kupitia nida no yako....wanaweza muuliza balance na akasema hakumbuki ...ila watamfungulia kwa kumsetia defult jambazi ataingiza pin mpya anazozijua yy.pia wengine wana acces toka jikoni ni mwendo wa dk sifuri tu
NEVER!Yeah! Mtoa mada awe mkweli tu
Nimesema mpaka kugundua sina simu ilipita zaidi ya saa mojaMbona unapaniki? Mie nimeandika kuunga mkono post yako, huyo hakutoa taarifa ya kuibiwa ama aliitoa kwa kuchelewa mwizi akiwa kesha muibia.