Nimeibiwa simu na mwizi ametoa pesa tiGO Pesa!

Ebwana we hio ikoje uwezaje
 
Nilishituka sina simu baada ya muda kama saa moja
 
Kuna kibaka mmoja, alikua akiiba tu simu cha kwanza ni kutoa hela iwe tigo iwe voda cha kwanza anafanya muamala.....

Sijui hata ni akili gani zinatumika.
Kuna jamaa alikuja south kwa kukimbia kesi ya wizi wa mitandao anasema Magomeni yeye alikuwa ananunua line baada ya vibaka kuiba simu line wanamuuzia yeye anatoa pesa au kama haina pesa anaomba kutumiwa pesa na ndugu sometimes no sometimes yes
 
Kweli ila iyo inafanyika kwa hela ambazo ni kawaida wanaangalia ila laini ikiwa kuanzaia laki 3 na kuendelea wanakwambia tembelea dukani kwetu kwa msaada zaid
 
Asante. Wacha nibaki. na traditional banking na cryptocurrency. Ila Tigo wanirudishie pesa zangu. Siwaachi ng'oo.
 
Asante kwa taarifa. TIGO wajiandae kunirudishia pesa zangu tena upesi. Kwa hili sina mzaha hata kidogo
 
Tigo security yao huwa weak sana kwani ukikosea password mara tatu unaambiwa u reset password tena simple tu yani. Hakuna maswali muhimu ya kuulizwa wala kwenda kwa wakala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…