Nimeingia kwenye mahusiano na mwanamke wa rafiki yangu pasipo kujua

Hoo ni balaaa sasa kwa hiyo mna kula demu mmoja sikia mkuu Chukua lodge kali than mualike huyo demu na mshikaji wako mpige 3 some alafu baada ya hapo demu achague anayemtaka [emoji3][emoji2957].

Ila wana huyo demu hawafai wote hivi ukimuoa huyo mshikaji utamuangaliaje au yeye akimuoa utamuangalieje huyo demu ni kama ujinga flani hivi dosari tayari pigeni chini maisha yaendelee wife material awe Bikra au awe amenyooka kwa tabia, dini na mengineyo mengi amekosa sifa hiyo.
 
Aisee threesome hapo umenena. Bonge la idea
 
Mkuu suala la kumuoa nimewahi kulifikiria lakini ni mapema sana tangu nianze nae uhusiano. Sasa hili limejitokeza ndio limetia dosari kabisa
we chamsingi hapo nenda ya mwisho umuage bidada, ila usimwambie chochote, jikatae mazima, halafu muachie mshikaji. Ili kulinda heshima kwa washikaji, maana hao ndo wa muhimu zaidi according to your story.
 
we chamsingi hapo nenda ya mwisho umuage bidada, ila usimwambie chochote, jikatae mazima, halafu muachie mshikaji. Ili kulinda heshima kwa washikaji, maana hao ndo wa muhimu zaidi according to your story.
Respect
 
Kama ninyi ni marafiki na mnapendana. Hamtakuwa tayari kuumizana. So far sijaona kilicho haribika hapo. Endeleeni kumla wote kila mtu kwa nafasi yake. Msiende muuliza kitu. Na huyo bwege mwambie aache kulia. Analia nini sasa? Ni ufala. Kila mtu amtumie anapokuwa naye. Asipokuwa naye afanye mambo ya msingi.
 
Wote endeleeni kukaa humohumo ila kimyakimya, badilisheni malengo mliyokua nayo juu yake ila msimiache wala kumwambia.
Kumwambia hizo ni habari za kusutana na za kike. Nendeni naye hivyo huku akiamini hamjui kitu, yaani awe demu wenu wote
kivipi sasa wakati huyo mshikaji wake analia kabisa,😀
 
jamaa analilia nyash😀, mtoto ni mzuri ujue, shombeshombe
 
Hivi Bado mna pigana pichana tu .kwenye simu yangu sina picha na mwanamke yoyote lakini nawa chakata kama kawaida stay dangerous
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…