mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,084
- 2,074
Sikia mtu wa kwanza wa kumpa taarifa ni mwanamke,yeye ataenda kumwambia mama yake , mama atamwambia baba, baba ataamua nn kifanyike.
Lkn pia hatujua swala lako limefika wapi kwa maaana kuna sikua ya kutajiwa mahali alafu kuna siku ya kulipa mahali, lakini hii kila familia inakuwa na taratibu zake pambana mkuu.
Pole kwa changamoto ,ulifanya maamuzi ya haraka sana kumlipa jamaa ungemweleza ukweli hauna pesa lkn upo tayali kumlipa na kama vipi mwende gereji kujua bei kish ulipie matengenezo, hapo ndio utajua umimu wa bima pole kiongozi, natumai utavuka salama
Lkn pia hatujua swala lako limefika wapi kwa maaana kuna sikua ya kutajiwa mahali alafu kuna siku ya kulipa mahali, lakini hii kila familia inakuwa na taratibu zake pambana mkuu.
Pole kwa changamoto ,ulifanya maamuzi ya haraka sana kumlipa jamaa ungemweleza ukweli hauna pesa lkn upo tayali kumlipa na kama vipi mwende gereji kujua bei kish ulipie matengenezo, hapo ndio utajua umimu wa bima pole kiongozi, natumai utavuka salama