Nimejaribu kumwacha mtoto wangu aokote kitu ili ale nijaribu kumzuia, kila akiokota anakuwa fasta zaidi yangu

Miaka 5 bado ni michache kwa uweza wa Mungu wakati wake bado, ingawa kibinadamu inasononesha ila usichoke kumuomba Mungu anajua ni lini atakuondolea maumivu ya upweke wa kukosa mtoto
 
Usikate tAmaa utapata tu

Sisi tulikaa miaka 7 ndio tukapata wa kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…