Nimejaribu kumwacha mtoto wangu aokote kitu ili ale nijaribu kumzuia, kila akiokota anakuwa fasta zaidi yangu


Wakikua speed itapungua tu.
 

Tunakuombea ndugu na Mungu akasikie hitaji la moyo wako. Amina.
 
Hongera bro selikari ya awamu ya sita lazima ikualike ikulu kwa kumzaa bluce leee🤸🤸 maana wanasema blucelee alikuwa Kama mwanao hivyohivyo wakati mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…