Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kuna Rais wa zamani wa Ukraine naye huwa namuona akihojiwa yupo front kapiga kombati na ana silaha anapambana.Jamaa ni jasiri sana, ameishinda hofu kabisa.
Amemwaibisha mtesi wao aliyekusudia kuwamaliza ndani ya siku 3.
Huyu ninamfananisha na Modekai alivyomshinda Hamani mtu mwenye nguvu.
Putin haamini macho yake.
Mungu anajua kuwapigania wanyonge machoni pa watu na kuwsibisha wenye nguvu.
Zelensky ni shujaa wa karne.
RIP 🤣 🤣 🤣 🏃♂️Sio tu hawakufika kiev ila pia hawakurudi Russja nahis walinyakuliwa na Masihi[emoji56][emoji56]
Sasa putin na NATO nani mwanaume.Kama Putin ni mwanaume mbona anakimbia kivuli cha NATO?
Nadhani anamtegemea Mungu na bila shaka Haki iko Upande wake. 👍 🤣 yaani anaonewa na Dubwana kubwa lenye kiburi na Majigambo mengi kama ilivyokuwa kwa Daudi na Goliati.Jamaa ni jasiri sana, ameishinda hofu kabisa.
Amemwaibisha mtesi wao aliyekusudia kuwamaliza ndani ya siku 3.
Huyu ninamfananisha na Modekai alivyomshinda Hamani mtu mwenye nguvu.
Putin haamini macho yake.
Mungu anajua kuwapigania wanyonge machoni pa watu na kuwsibisha wenye nguvu.
Zelensky ni shujaa wa karne.
Mkuu; Sasa mbona huyo mwanamme Russia (Putin) anakimbizwa hivyo na hao unaowaita ni kikundi cha malaya waliojiunga kwa pamoja?Sasa putin na NATO nani mwanaume.
Nato ni kikundi cha malaya walijiunga pamoja kwa uoga dhidi ya mwanamme Russia
Chizi sio lazima abebe kiroba cha mavi!Putin amejiaibisha.Kabakia kutoa matamko tu.Mara msimsaidie,mwacheni tuzipige.Mara ooh...nawawekea vikwazo Biden na Boris wasije Urusi.Siyo wehu huo?
Sasa umejifunza nn?endeleeni kumpa sifa za uongo huku nchi inazidi kuteketeaKuna KITU Cha kujifunza Kwa raisi wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.
Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.
Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo. Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Anauwa raisi wake,anaharibu nchi yake,zaidiya Waukaraine milioni tano ni wakimbizi...Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.
Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.
Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo.
Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri[emoji1534]Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.
Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.
Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo.
Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Nchi inazidi kuteketezwa na Mvamizi hilo halina ubishi, lakini ukweli unabaki pale kwamba Zelensky ni jasiri na kadri vita inavyoendelea usishangae mwisho akaibuka kidedea. 🙏Sasa umejifunza nn?endeleeni kumpa sifa za uongo huku nchi inazidi kuteketea
Mods waunganishe huu uzi na ule ambao upo main stream mara moja!Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.
Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.
Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo.
Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Ukraine ni second home ya wayahudiKuna Rais wa zamani wa Ukraine naye huwa namuona akihojiwa yupo front kapiga kombati na ana silaha anapambana.
Hawa jamaa wana spirit ya ajabu kuipigania nchi yao.
Kabisa mkuu..Jamaa ni jasiri sana, ameishinda hofu kabisa.
Amemwaibisha mtesi wao aliyekusudia kuwamaliza ndani ya siku 3.
Huyu ninamfananisha na Modekai alivyomshinda Hamani mtu mwenye nguvu.
Putin haamini macho yake.
Mungu anajua kuwapigania wanyonge machoni pa watu na kuwsibisha wenye nguvu.
Zelensky ni shujaa wa karne.
Mkuu vipi? Naona kama umechanganya mafaili hapo. Nani alijua kuwa hawezi kupigana na Taifa kubwa? Zelensky alilizingatia sana hilo na ndo maana yy kwa kutambua udhaifu wake hivyo hakuanzisha vita. Mrusi kwa Ubabe wake na Matishio mengi alisubiri sana ili Jamaa walau aanzishe kidogo tu na ipatikane sababu. Lakini Hilo halikutokea. Baadaye Uvumilivu na kukosa Subira vilipomwishia Mrusi akaamua KUMVAMIA Ukraine. Na inaeleweka mpaka sasa kwamba Ukraine anapigana vita ya kujihami dhidi ya Mrusi.Anauwa raisi wake,anaharibu nchi yake,zaidiya Waukaraine milioni tano ni wakimbizi...
Alikuwa kuwa hawezi kupigana na taifa kubwa kama Urusi,alitegema NATO wataingilia kati alikua hajui NATO hawana uwezo wa kupigana na Urusi
Mmoja katika raisi mjinga kutokea Duniani
Umemaliza kila kitu.Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri[emoji1534]
2 Nya 20:22Kwani amewamaliza Warusi na jeshi lake Ukraine...
Mwambieni ukuu wako na nguvu zako zinatisha Eee Mungu mkuu.
Ila Zelensky kaishushia sana hadhi na sifa taifa la Russia nina amini leo hii hakuna tena jirani anayemuofia Russia kama ilivyokuwa mwanzo kabla ya hii vitaKabisa mkuu..
Ule msafara wa Putin ulikuwa unatisha hata watazamaji wa nchi za mbali wa kwenye TV, imagine mlengwa mkuu Zelensky ndani Kyiv.. Huyu rais siyo wa mchezo bhana, ni jasiri mnoo!
Aaah mkuu hii sura nzima huwa naipenda sana.2 Nya 20:22
Nao walipoanza kuimba na kusifu, BWANA akaweka waviziao juu ya wana wa Amoni, na Moabu, na wa mlima Seiri, waliokuja juu ya Yuda; nao wakapigwa.
HakikaIla Zelensky kaishushia sana hadhi na sifa taifa la Russia nina amini leo hii hakuna tena jirani anayemuofia Russia kama ilivyokuwa mwanzo kabla ya hii vita