Nimejifunza kitu kutoka kwa Zelensky

Nimejifunza kitu kutoka kwa Zelensky

Jamaa ni jasiri sana, ameishinda hofu kabisa.
Amemwaibisha mtesi wao aliyekusudia kuwamaliza ndani ya siku 3.

Huyu ninamfananisha na Modekai alivyomshinda Hamani mtu mwenye nguvu.

Putin haamini macho yake.
Mungu anajua kuwapigania wanyonge machoni pa watu na kuwsibisha wenye nguvu.
Zelensky ni shujaa wa karne.
Kuna Rais wa zamani wa Ukraine naye huwa namuona akihojiwa yupo front kapiga kombati na ana silaha anapambana.

Hawa jamaa wana spirit ya ajabu kuipigania nchi yao.
 
Jamaa ni jasiri sana, ameishinda hofu kabisa.
Amemwaibisha mtesi wao aliyekusudia kuwamaliza ndani ya siku 3.

Huyu ninamfananisha na Modekai alivyomshinda Hamani mtu mwenye nguvu.

Putin haamini macho yake.
Mungu anajua kuwapigania wanyonge machoni pa watu na kuwsibisha wenye nguvu.
Zelensky ni shujaa wa karne.
Nadhani anamtegemea Mungu na bila shaka Haki iko Upande wake. 👍 🤣 yaani anaonewa na Dubwana kubwa lenye kiburi na Majigambo mengi kama ilivyokuwa kwa Daudi na Goliati.
 
Sasa putin na NATO nani mwanaume.

Nato ni kikundi cha malaya walijiunga pamoja kwa uoga dhidi ya mwanamme Russia
Mkuu; Sasa mbona huyo mwanamme Russia (Putin) anakimbizwa hivyo na hao unaowaita ni kikundi cha malaya waliojiunga kwa pamoja?
Aidha; Huyo mwanaume (kwa mujibu wa madai yako) alikwenda/Alivamia Ukraine kutafuta nini hasa? Wachumba? au Dada poa(Malaya)? au kuthibitisha kwamba yy ni mwanaume (kwa kuonesha naniliu yake) kwa Wa-Ukraine kwa kuwa huko Ukraine ndiko waliko watu waliodai kwamba yy sio mwanaume? 😳 🤣
 
Kuna KITU Cha kujifunza Kwa raisi wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.

Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.

Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo. Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Sasa umejifunza nn?endeleeni kumpa sifa za uongo huku nchi inazidi kuteketea
 
Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.

Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.

Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo.

Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Anauwa raisi wake,anaharibu nchi yake,zaidiya Waukaraine milioni tano ni wakimbizi...

Alikuwa kuwa hawezi kupigana na taifa kubwa kama Urusi,alitegema NATO wataingilia kati alikua hajui NATO hawana uwezo wa kupigana na Urusi

Mmoja katika raisi mjinga kutokea Duniani
 
Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.

Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.

Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo.

Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri[emoji1534]
 
Sasa umejifunza nn?endeleeni kumpa sifa za uongo huku nchi inazidi kuteketea
Nchi inazidi kuteketezwa na Mvamizi hilo halina ubishi, lakini ukweli unabaki pale kwamba Zelensky ni jasiri na kadri vita inavyoendelea usishangae mwisho akaibuka kidedea. 🙏
 
Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.

Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.

Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo.

Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Mods waunganishe huu uzi na ule ambao upo main stream mara moja!
kimsingi hauna jipya
 
NATO anapigana na Russia Ukraine wenye akili washajua but viazi mbatata kama huyu hawawezi elewa
 
Kuna Rais wa zamani wa Ukraine naye huwa namuona akihojiwa yupo front kapiga kombati na ana silaha anapambana.

Hawa jamaa wana spirit ya ajabu kuipigania nchi yao.
Ukraine ni second home ya wayahudi
 
Jamaa ni jasiri sana, ameishinda hofu kabisa.
Amemwaibisha mtesi wao aliyekusudia kuwamaliza ndani ya siku 3.

Huyu ninamfananisha na Modekai alivyomshinda Hamani mtu mwenye nguvu.

Putin haamini macho yake.
Mungu anajua kuwapigania wanyonge machoni pa watu na kuwsibisha wenye nguvu.
Zelensky ni shujaa wa karne.
Kabisa mkuu..
Ule msafara wa Putin ulikuwa unatisha hata watazamaji wa nchi za mbali wa kwenye TV, imagine mlengwa mkuu Zelensky ndani ya Kyiv.. Huyu rais siyo wa mchezo bhana, ni jasiri mnoo!
 
Anauwa raisi wake,anaharibu nchi yake,zaidiya Waukaraine milioni tano ni wakimbizi...

Alikuwa kuwa hawezi kupigana na taifa kubwa kama Urusi,alitegema NATO wataingilia kati alikua hajui NATO hawana uwezo wa kupigana na Urusi

Mmoja katika raisi mjinga kutokea Duniani
Mkuu vipi? Naona kama umechanganya mafaili hapo. Nani alijua kuwa hawezi kupigana na Taifa kubwa? Zelensky alilizingatia sana hilo na ndo maana yy kwa kutambua udhaifu wake hivyo hakuanzisha vita. Mrusi kwa Ubabe wake na Matishio mengi alisubiri sana ili Jamaa walau aanzishe kidogo tu na ipatikane sababu. Lakini Hilo halikutokea. Baadaye Uvumilivu na kukosa Subira vilipomwishia Mrusi akaamua KUMVAMIA Ukraine. Na inaeleweka mpaka sasa kwamba Ukraine anapigana vita ya kujihami dhidi ya Mrusi.
 
Kwani amewamaliza Warusi na jeshi lake Ukraine...
Mwambieni ukuu wako na nguvu zako zinatisha Eee Mungu mkuu.
2 Nya 20:22
Nao walipoanza kuimba na kusifu, BWANA akaweka waviziao juu ya wana wa Amoni, na Moabu, na wa mlima Seiri, waliokuja juu ya Yuda; nao wakapigwa.
 
Kabisa mkuu..
Ule msafara wa Putin ulikuwa unatisha hata watazamaji wa nchi za mbali wa kwenye TV, imagine mlengwa mkuu Zelensky ndani Kyiv.. Huyu rais siyo wa mchezo bhana, ni jasiri mnoo!
Ila Zelensky kaishushia sana hadhi na sifa taifa la Russia nina amini leo hii hakuna tena jirani anayemuofia Russia kama ilivyokuwa mwanzo kabla ya hii vita
 
2 Nya 20:22
Nao walipoanza kuimba na kusifu, BWANA akaweka waviziao juu ya wana wa Amoni, na Moabu, na wa mlima Seiri, waliokuja juu ya Yuda; nao wakapigwa.
Aaah mkuu hii sura nzima huwa naipenda sana.
Hapa Yoheshafati alikuwa mnyenyekevu na mchaji wa Mungu sana kabla hajajiunga na Ahabu na kupigwa na Mungu.

Asante na ubarikiwe mkuu wangu
 
Back
Top Bottom