Team Rafiki ni kitu cha kufikirika tu humu JF. Team Bazaz ndio timu inayo exist. Ina Matawi mikoa ya Arusha, Mwanza, Tanga, Dodoma na Kilimanjaro. Makao makuu ni Dar.
Ndio timu gani hyo? Siijui
Namfuta rasmi kwenye hansard.
humu mjengoni kuna team nyingi na zina viongozi wake
kuna:-
a) teamrafiki
b)teamweka picha
c)team bazazi
d)teamunoko
e)teamunafiki
na nyinginezo nyingi na hii teamrafiki ipo siku nyingi viongozi wake ni:-
Mwenyekiti : Mndengereko
Msaidizi wa m/kiti ni Tized
Katibu : ladyfurahia
Mtunza Hazina ni: Kongosho
Msaidizi wa Hazina: Mr Rocky
hiyo ndo list ya viongozi wake hivyo nimekutumia hiyo fomu uijaze kisha ulirudishe kwetu tukuregister kwenye kitabu chetu kuwa wewe ni member wa hii Team upo hapo?
Nicas Mtei umeona eehh na jamaa ni mwanaume ila anapost vitu kama vile na sijui mods walikuwa wameenda likizo au walikuwa na hang over za sikukuu
cc Paw
Ewaaa. Tena waambie kabisa teamrafiki ni wake na michepuko ya teambazazi.
Sasa hii fomu unaijaza online au wapi mpendwa? Halafu niitieni vivian amepotea sana jukwaani aisee akifuatiwa na Smile, Lizzy na gfsonwin. Bila shaka huu uzi unawahusu. Halafu wewe Dena Amsi nimenuna ujue....halafu mwanaume akinuna si unajua inakuwa noma!! Maana nasubiria pengine kwenye hiyo orodha ya "Kesho" sasa naona itakukwa keshokutwa!!
Namfuta rasmi kwenye hansard.
Ewaaa. Tena waambie kabisa teamrafiki ni wake na michepuko ya teambazazi.
Unataka kumsababisha ajaribu kujitoa roho tena?
nitaanza na ya kwako kisha :A S-eek:
Nicas Mtei umeona eehh na jamaa ni mwanaume ila anapost vitu kama vile na sijui mods walikuwa wameenda likizo au walikuwa na hang over za sikukuu
cc Paw
acha kujifanya hujui lugha wakati umezaliwa nayo
au unataka nikutajiei saa ngapi kwenye kituo kipya cha mwenge
ulikokuwa unataka kuwafanyia watu massage ya uso
huku macho yamekutoka pima like :A S-eek::A S-eek::A S-eek:
Usinywe sumu tena