Nimejikuta nakuwa baba wa watoto wengi bila kutarajia

Nimejikuta nakuwa baba wa watoto wengi bila kutarajia

mwanga mweusi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
276
Reaction score
452
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda.

Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mimi kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga

1. Nilipanga sitakuwa na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅

2. Sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅

3. Niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli, mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kuwa huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo.

Kaonyesha dharau kubwa sana na nishaapa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wa kwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati

1. Kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .

2. Kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .

3. Niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
 
Wote wa 4 muishi kwenye bajeti ya wa3, Solved ✔️ inaitwa adjustment.

Unazungumzia kutelekeza kirahisi hivyo, kwamba utawatelekeza baada ya muda utawarudia nao watakuwa na furaha? Na huyo mtoto mmoja naye utamtelekeza amekosea nini?
 
Wote wa 4 muishi kwenye bajeti ya wa3, Solved ✔️ inaitwa adjustment.

Unazungumzia kutelekeza kirahisi hivyo, kwamba utawatelekeza baada ya muda utawarudia nao watakuwa na furaha? Na huyo mtoto mmoja naye utamtelekeza amekosea nini?
Mungu asaidie vizazi vyetu jirani...😑
Mimi ninapenda sana kutoa mfano kwamba.....
Nina watoto 8 na wote wanasoma shule za ada isio pongua 1.8m
Wakubwa wawili wapo vyuo na hakuna alie wahi kuchuku mkopo.
Nina somesha ndugu na ninategemewa na wazazi.
Sina kazi ya kutisha, nashkuru Mungu tunaishi vizuri na amani imetamalaki, hatudaiwi kodi na beer mbili tatu napata daily.
 
nilichogundua ukiwa na mipango yako wanawake ni kukaa nao mbali sana

Maana hawa wenzetu huwa hawajali na hawaogopi maisha kabisa

Mimi mke wangu niliwah mtishia kwamba usizae sahiv mtoto wa pili na ikitokea umeshika mimba tena utateseka sana na nilijitahid kuwa namwaga nje lakin akawa ni wakulalamika kila siku kuwa namkosesha raha kumwaga siku moja akaning'ang'ania nikamwaga ndani na mimba ilashika siku hyo hyo
 
nilichogundua ukiwa na mipango yako wanawake ni kukaa nao mbali sana

Maana hawa wenzetu huwa hawajali na hawaogopi maisha kabisa

Mimi mke wangu niliwah mtishia kwamba usizae sahiv mtoto wa pili na ikitokea umeshika mimba tena utateseka sana na nilijitahid kuwa namwaga nje lakin akawa ni wakulalamika kila siku kuwa namkosesha raha kumwaga siku moja akaning'ang'ania nikamwaga ndani na mimba ilashika siku hyo hyo
Hamtaki wanawake wenu wazae ila mnawakaza daily sio???

Kama mmefikia hatua Hio anzeni sasa nyinyi kuhesabu mizinguko Yao ya hedhi, zile siku 7 za danger mnalala mzungu wa 4, simple as that
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje

We ni mwanaume kweli? Una mpa mke onyo kuhusu ubebaji mimba? Kwani analalwa na ani kupata mimba? Wewe si ndo wa kuonywa?
 
Kuna binadamu wana kiburi na maringo dunia hii.
Yaani mtu anapanga maisha akidhani yatakuwa hivyo kama anavyotaka
Hujui kuna ukilema wa maisha, maradhi, vifo wewe
Ukifa unadhani watakufa na njaa hao
Pambana wenzio tuna watoto zaidi ya watano na wanafuraha kwa sababu sijawahi kukufuru na mambo yanaenda vizuri nashukuru sana kwa hilo
Watu mnawaza chakula cha kuwalisha watoto wawili?
Wakati mimi nimepanga kuwapeleka watoto holiday mwakani Turkey daa watu tunatofautiana kwa kila kitu ila kufuru mbaya na ukiendekeza mtakula nini utakufa masikini jooo
 
Mungu asaidie vizazi vyetu jirani...😑
Mimi ninapenda sana kutoa mfano kwamba.....
Nina watoto 8 na wote wanasoma shule za ada isio pongua 1.8m
Wakubwa wawili wapo vyuo na hakuna alie wahi kuchuku mkopo.
Nina somesha ndugu na ninategemewa na wazazi.
Sina kazi ya kutisha, nashkuru Mungu tunaishi vizuri na amani imetamalaki, hatudaiwi kodi na beer mbili tatu napata daily.
Umehamia nkuhungu?😂😂 Japo avator yako inagoma kuwa na unawatoto 8
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Haujakomaa kiakili, ni mbinafsi sana unayethamini vitu kuliko watu.

Hata mtu angekushauri, haisaidii fuata uamzi uloamua mwenyewe.

Huyo mkeo ana bahati mbaya sana kukumbana na mwanaume wa aina yako.

Watu wanalilia uzazi, hadi ndumba na takataka zote kwa waganga wanazitumia ili angalau nao wazae waitwe baba, wewe unalaani!

Kulea watoto wawili hakuwezi kukudidimiza chochote kama una afya na unafanya kazi bhana, ni fikra zako tu hizo potofu za kichoyo na ubinafsi vinakubungua.
 
Umehamia nkuhungu?😂😂 Japo avator yako inagoma kuwa na unawatoto 8
Hii avatar iliwahi kunikosesha dem hapa ndani, so hata mimi sipendi jirani...😑
Mimi na mke wangu mpenzi, tuna watoto 8, watoto wa ndugu 2 na wadada wasaizidi 2, mbwa 2 na kuku wakienyeji zaidi ya 60.
Tunategemewa na wazazi, na kikubwa tunamshukuru Mungu kwakua sometimes tunakosa lakini hatupungukiwi..😊
 
Hakikisha kwanza umeshatafsiri hayo 'MAFANIKIO' katika namna inayopimika absolutely kwako binafsi sio relatively. Mafanikio hayana mwisho. Hapo unaposema hadi ufanikiwe hakuna kipimo😒.

Mfano, siku ukifanikiwa kujenga nyumba na ukapaua kawaida, ndipo hapo hapo hamu ya kufumua na kupaua bati reeeefu inapoanza na mafanikio inabadilika kuwa nitakapopaua.
Siku unafanikiwa kununua boda yako Kinglion, ndipo hapo unapowaza ununue BMW GS1250😂😂.

Halafu pia unapowaza kuhusu mafanikio yako waza na yeye mwanamke mafanikio yake anayatafsiri vipi. Je mojawapo sio kuwa na watoto kadhaa? Na kumbuka ndoa ni kusaidizana kwa pamoja kila mmoja kuyafikia mafanikio yake. Ni kama sex tu, sex ni wanandoa wawili kusaidiana kila mmoka anamsaidia mwenzake afike
 
unakojoa ndani, mkeo hatumii njia yoyote ya uzazi wa mpango wala kuzia mimba na bado hutaki ashike mimba, huu ni upuuzi wa kiwango cha juu sana, inaonekana hata ukipata kipato utaendelea kuwa baba jina tu, mungu asaidie huyo mtoto akizaliwa asirithi ujinga wako, idiot irresponsible human being
 
Back
Top Bottom