Nimejikuta nakuwa baba wa watoto wengi bila kutarajia

Nimejikuta nakuwa baba wa watoto wengi bila kutarajia

Kama umepangiwa kuzipata hizo pesa unazozisema basi utazipata tu hata ukiwa na watoto 20.

Kama haujapangiwa fungu la kuzikamata, hata usingekuwa na mke na watoto kamwe hautaweza kuzikamata.

Watoto ni baraka, na kila mmoja anakuja na baraka zake.

Huenda huyo mtoto unayemkataa kuzaliwa ndiye ujio wake utafanya pesa zimiminike ndani bila ww kujua.

Halafu usisahau fate haupangi wewe, anapanga Mungu.
 
Aisee, nilijua unawatoto wa mama tofauti tofauti, kumbe unalalamika mtoto wa kwako kwa mwanamke mmoja? hata matajiri hawana akili kama zako, kama ulitaka hivyo usingeoa ungesubiri mpaka ufikie malengo yako ndio uoe bure kabisa
 
Mungu asaidie vizazi vyetu jirani...😑
Mimi ninapenda sana kutoa mfano kwamba.....
Nina watoto 8 na wote wanasoma shule za ada isio pongua 1.8m
Wakubwa wawili wapo vyuo na hakuna alie wahi kuchuku mkopo.
Nina somesha ndugu na ninategemewa na wazazi.
Sina kazi ya kutisha, nashkuru Mungu tunaishi vizuri na amani imetamalaki, hatudaiwi kodi na beer mbili tatu napata daily.
Jirani umebarikiwa, na bia za waswanu zinashuka kama kawa.

Kuna kitu watu hawajui, kutokuwa na familia si ticket ya mafanikio, however lazima ujipange ili uweze kuitunza familia yenye ustawi.

Mtu usiwe na familia sababu hupendi kuwa na familia na si vinginevyo.

Wazee kibao waliozeeka hawana kitu enzi zao hawakuwaza kufanikiwa? Maisha yana uncertainty nyingi sana.
 
Jirani umebarikiwa, na bia za waswanu zinashuka kama kawa.

Kuna kitu watu hawajui, kutokuwa na familia si ticket ya mafanikio, however lazima ujipange ili uweze kuitunza familia yenye ustawi.

Mtu usiwe na familia sababu hupendi kuwa na familia, Wazee kibao waliozeeka hawana kitu enzi zao hawakuwaza kufanikiwa? Maisha ya uncertainty nyingi sana.
Na vijana wengi wa sasa wamebadilisha na kuona kwama kuwa na majukumu ama kuitumikia familia ni kama utumwa ama njia ya kuto fikia mafanikio kwa haraka.
Binafsi napenda kuwaambia watoto wangu kwamba usikimbie majukumu/usitafute visingizio zaidi pambana na kuwa mwenye nidhamu katika kila unacho kifanya.
Na....
Familia ni baraka and having a family is nature, pia unapo fanikiwa while you don't have a family ni sawa na bure tu.
Having a family is blessing and one of the happiest thing in the world
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Kosa la kwako mkuu,kwani usingefanya yale mambo yetu mimba ingetokea wapi,eti nilimwambia asibebe mimba,ngoja niendelee tu kusoma comments za wengine...
 
Mungu asaidie vizazi vyetu jirani...😑
Mimi ninapenda sana kutoa mfano kwamba.....
Nina watoto 8 na wote wanasoma shule za ada isio pongua 1.8m
Wakubwa wawili wapo vyuo na hakuna alie wahi kuchuku mkopo.
Nina somesha ndugu na ninategemewa na wazazi.
Sina kazi ya kutisha, nashkuru Mungu tunaishi vizuri na amani imetamalaki, hatudaiwi kodi na beer mbili tatu napata daily.
Niwewe,lakini wengi wanaogelea kwenye lindi la umasikini sababu ya familia kubwa, sisi wengine tuna bahati mbaya ya watoto kwakweli,nna mwanangu itoshe kusema ni kama nimezaa shetani , ana miaka 19,jeuri zaidi ya jeuri, anaweza akasusa hata siku mbili hajala kwa hasira tu,kupika hataki, kufanya kazi hataki,

Kuna familia sio kabisa za kuzaa nazo,nimegundua tuangalie wanawake wakuzaanao kwa yakini, kuna koo zimelaaniwa
 
Ndio vizuri, hata mimi nilitaka kuwa na watoto watano kwa mara moja yaani nizae na wanawake watano kwa mpigo ila imeshindikana nimepata watoto wawili tu hadi sasa. Nitajaribu tena zoezi la kupata watoto wengi ndani ya mwaka mmoja!
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Duh mkuu wewe ni mbinafsi wa kiwango cha kimataifa
 
Niwewe,lakini wengi wanaogelea kwenye lindi la umasikini sababu ya familia kubwa, sisi wengine tuna bahati mbaya ya watoto kwakweli,nna mwanangu itoshe kusema ni kama nimezaa shetani , ana miaka 19,jeuri zaidi ya jeuri, anaweza akasusa hata siku mbili hajala kwa hasira tu,kupika hataki, kufanya kazi hataki,

Kuna familia sio kabisa za kuzaa nazo,nimegundua tuangalie wanawake wakuzaanao kwa yakini, kuna koo zimelaaniwa
Pole sana mkuu...
Huyo mtoto hadi anafikia hatua hiyo lazima kuna sababu mkuu.
Na kuna mengi unapaswa kuyapatia majibu kabla ya kumuona kama laana kwamfano:-
Je, ulishiriki kikamikifu katika malezi yake wakati anakua?
Je uliwajibuka kama baba katika makuzi na mahitaji yake?
Je alikulia wapi kabla ya wewe kuishi nae?
Je alikua anacheza na watoto wa ainagani na tabia zipi?
Je hakiwahi kunyanyaswa alipokua udogoni?
Je wewe na mama yake mnamahusiano mazuri?
 
nilichogundua ukiwa na mipango yako wanawake ni kukaa nao mbali sana

Maana hawa wenzetu huwa hawajali na hawaogopi maisha kabisa

Mimi mke wangu niliwah mtishia kwamba usizae sahiv mtoto wa pili na ikitokea umeshika mimba tena utateseka sana na nilijitahid kuwa namwaga nje lakin akawa ni wakulalamika kila siku kuwa namkosesha raha kumwaga siku moja akaning'ang'ania nikamwaga ndani na mimba ilashika siku hyo hyo
Ukisikia piga "panapouma "ndo hii sasa ulipigwa kwenye mshono wazungu wakawahi kwenye ovary🤣
 
Back
Top Bottom