Nimejikuta nakuwa baba wa watoto wengi bila kutarajia

Nimejikuta nakuwa baba wa watoto wengi bila kutarajia

Wanaume wengi hawapendi watoto ila wanakubali kwa sababu jamii itawachukuliaje kuwa na mke then huna mtoto....Kuna muda mwanamke kama kweli waipenda ndoa yako msikilize mume kuhusu idadi ya watoto atakayo....unategesha unanasa then ndiyo haya sasa analalamika.Hatujifunzi tu kwanini wanaume wengi wanakimbia watoto au mimba na kujaza singlemoms kitaa.
 
We ni mwanaume kweli? Una mpa mke onyo kuhusu ubebaji mimba? Kwani analalwa na ani kupata mimba? Wewe si ndo wa kuonywa?
Mimi kutokulala nae sio kigezo cha kutokupata mimba pia kwa mimi naona jukumu lipo kwa mwanamke ndio wanaoweza kuzuia au kubeba
 
Haujaelezea ongezeko la mtoto mmoja litakavyokufanya masikini zaidi.

Badala ya kuwatelekeza, tafuta fedha halali kwa bidii zaidi.

NB: Usiue kiumbe kisichokuwa na hatia.
Sitaki kuua kiumbe chochote pia hali ya uchumi mm ndio naijua wengi hamuijui pia malengo niliyopanga mungu anabariki pia nimetengeneza mfumo wa kupunguza njia za hela kutoka na kuongeza njia ya kuingia sasa naona njia ya kutokea inakua kubwa kuliko kuingia
 
Wote wa 4 muishi kwenye bajeti ya wa3, Solved ✔️ inaitwa adjustment.

Unazungumzia kutelekeza kirahisi hivyo, kwamba utawatelekeza baada ya muda utawarudia nao watakuwa na furaha? Na huyo mtoto mmoja naye utamtelekeza amekosea nini?
Keyword ADJUSTMENT,hapo umefunga kikubwa sana. Watu 4 kuishi kwa budget ya watu 3 ni kitu raising sana,you won't even feel the pinch.
 
Sema ulipotaja mbwa watu watahisi ni chai ila asikudanganye mtu ,mbwa ni familia kabisa maana anakula Kama ninyi watu .

Raha ya mbwa awe mkali ,unamlisha na jioni au mchana wajinga hawatii miguu nyumbani ,sio Kama jibwa langu limenenepeana masikini ,halibweki mpaka liwe na njaa ,natamani kumdukuza ila nimemzoea ,majirani wakija kazi kuwaangalia ,itoshe kusema huyu mtoto amekuwa mzigo kwangu na kumfukuza aende akajitafute siwezi nimemlea vibaya ,simuoni akiweza kula jalalani ,nipe ushauri rafiki nifanye nini na huyu mwanangu mkubwa
Mfungie bandani kwa muda mrefu, atapata stress na kuwa frustrated 😣 Muda wa kufungiwa uwe mrefu kuliko muda wa kuzurura

Sijui kama ni njia inayofanya kazi permanently, expart wa dog watakushauri vizuri .
 
Keyword ADJUSTMENT,hapo umefunga kikubwa sana. Watu 4 kuishi kwa budget ya watu 3 ni kitu raising sana,you won't even feel the pinch.
Asante.
lakini wasiwasi wangu ikiwa mtu mzima aliyefikia umri wa kutengeneza familia halijui hili… zaidi zaidi ameongelea kutelekeza mara 2.

We huogopi?
 
Wakati mwingine kichwa kisicho na mawazo chanya ni kifuniko Cha shiñgo
 
Ila wewe jamaa ni mjinga sana, hiyo mimba mkeo alijipachika??
Kwann hukutafuta huo utajiri kabla ya kuoa?
Tulia ulee familia yako hatutaki kubebewa wanaume zetu na huyo single maza unayemtengeneza... 😹
 
Acha utoto bhasi ndugu yangu, hiyo mimba alijipa mwenyewe?

Akili ya mwanadamu imeumbwa kubadilika kutokana na mazingira. Ukiona wewe mtoto moja tu kuongezeka umebaki na akili mgando, huwezi ku adjust, basi jua hata hayo mafanikio utayafukuzia mpaka unaingia kaburini na hutoyapata.
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda.

Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mimi kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga

1. Nilipanga sitakuwa na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2. Sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3. Niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli, mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kuwa huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo.

Kaonyesha dharau kubwa sana na nishaapa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wa kwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati

1. Kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2. Kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3. Niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Wakati ukimwagia shahawa uume uliwaza yote hayo?
 
Back
Top Bottom