Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Amini kwamba😂 na dokta wa kumkata hizo mbupu koneksheni tunatoa sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini kwamba😂 na dokta wa kumkata hizo mbupu koneksheni tunatoa sisi.
Kama siku mbili huwezi we ndo utoboe hata mweziUpdate leo ninavyoandika hapa nishazini tiyari 😭😭😭
Nimekubali kuanza upya hadi tarehe 25/10/2027
Kauli mbiu never give up neverr
Ewaa kuanzia kesho tukaze mkuu tutakuwa tunakumbushana hapa kwenye uziNishazini hivyo naanza tena kesho
Never give up
C.h.o.k.oZa jioni wandugu
Wanasema kisichokuua kinakufanya uwe ngangari
Mimi mwana JF mwenzenu leo hii nimeamua kujipa adhabu kali ambayo inanitisha na kunifurahisha kwa pamoja mpaka sielewi kabisa
In short nimechoka hii tabia ya uzinzi uzinzi ninaofanya yaani uchafu mwingi nimekuwa naufanya toka October last year hadi nimeanza kuwa addicted kidogo kama mlevi of course wote ni watu wazima hapa najua mmenielewa vyema basi leo hii wana Jf ninekuja kwenu kutangaza kuwa kwa siku 1000 toka leo simwagi shahawa zangu tena kwa njia yeyote iwe sex au punyere
Ntarudi kufukua huu uzi 24/10/2027 mark my words
Usiku mwemeni nyote!!
Eeh Mwenyezi Mungu nitangulie 🙏
Update: leo ni siku moja tu toka nitie kiapo ila nishazini tiyari daaah safari ni chungu na ndefu sana ila nitaweza tu,r😮💨
Kwaiyo tumeongeza siku ni hadi 25/10/2027 never give up
Ni jambo linalowezekana kabisa kama uko seriousZa jioni wandugu
Wanasema kisichokuua kinakufanya uwe ngangari
Mimi mwana JF mwenzenu leo hii nimeamua kujipa adhabu kali ambayo inanitisha na kunifurahisha kwa pamoja mpaka sielewi kabisa
In short nimechoka hii tabia ya uzinzi uzinzi ninaofanya yaani uchafu mwingi nimekuwa naufanya toka October last year hadi nimeanza kuwa addicted kidogo kama mlevi of course wote ni watu wazima hapa najua mmenielewa vyema basi leo hii wana Jf ninekuja kwenu kutangaza kuwa kwa siku 1000 toka leo simwagi shahawa zangu tena kwa njia yeyote iwe sex au punyere
Ntarudi kufukua huu uzi 24/10/2027 mark my words
Usiku mwemeni nyote!!
Eeh Mwenyezi Mungu nitangulie 🙏
Update: leo ni siku moja tu toka nitie kiapo ila nishazini tiyari daaah safari ni chungu na ndefu sana ila nitaweza tu,r😮💨
Kwaiyo tumeongeza siku ni hadi 25/10/2027 never give up
Ni jambo linalowezekana kabisa kama uko serious.Za jioni wandugu
Wanasema kisichokuua kinakufanya uwe ngangari
Mimi mwana JF mwenzenu leo hii nimeamua kujipa adhabu kali ambayo inanitisha na kunifurahisha kwa pamoja mpaka sielewi kabisa
In short nimechoka hii tabia ya uzinzi uzinzi ninaofanya yaani uchafu mwingi nimekuwa naufanya toka October last year hadi nimeanza kuwa addicted kidogo kama mlevi of course wote ni watu wazima hapa najua mmenielewa vyema basi leo hii wana Jf ninekuja kwenu kutangaza kuwa kwa siku 1000 toka leo simwagi shahawa zangu tena kwa njia yeyote iwe sex au punyere
Ntarudi kufukua huu uzi 24/10/2027 mark my words
Usiku mwemeni nyote!!
Eeh Mwenyezi Mungu nitangulie 🙏
Update: leo ni siku moja tu toka nitie kiapo ila nishazini tiyari daaah safari ni chungu na ndefu sana ila nitaweza tu,r😮💨
Kwaiyo tumeongeza siku ni hadi 25/10/2027 never give up
mzabzabKweli mkuu punguza ngono,si umeskia trump anajitoa WHO ARV zitakuwa adimu