Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

Kama atakua anakula vzr na kushiba sioni akitoboa ata miezi 4 itakua ngumu kwake 😄
Inawezekana bila shida it depends na vipaumbele alivyojiwekea na lengo hasa ni nini.. ngono kwanza ni dhambi labda kama hauna imani lkn pia ngono ni mikosi na ndio maaana ni njia ya vijana wengi kukwama kiuchumi. Ukiwa na ratiba ngumu ya kazi zako na mazoezi makali kwa ajili ya kujilinda na mawazo ya Kingono utaitaj kulala tu
 
Ingekuwa baada ya hichi kiapo chako ukisaliti unakufa apo sawa vinginevyo hizi ni bla blah tu, utakuja 2027 kusema hukufanya ila hakuna ushahidi wowote.
Ili kudhibitisha hilo aje na picha ya operation ya kukatwa mapumbu au mboo 🤣 hapo ntaamini yupo serious. Vinginevyo kiapo hicho kitakuwa ni sawa na vigano na visasili tu.
 
Za jioni wandugu

Wanasema kisichokuua kinakufanya uwe ngangari

Mimi mwana JF mwenzenu leo hii nimeamua kujipa adhabu kali ambayo inanitisha na kunifurahisha kwa pamoja mpaka sielewi kabisa

In short nimechoka hii tabia ya uzinzi uzinzi ninaofanya yaani uchafu mwingi nimekuwa naufanya toka October last year hadi nimeanza kuwa addicted kidogo kama mlevi of course wote ni watu wazima hapa najua mmenielewa vyema basi leo hii wana Jf ninekuja kwenu kutangaza kuwa kwa siku 1000 toka leo simwagi shahawa zangu tena kwa njia yeyote iwe sex au punyere

Ntarudi kufukua huu uzi 24/10/2027 mark my words

Usiku mwemeni nyote!!

Eeh Mwenyezi Mungu nitangulie 🙏
Unazifahamu ndoto nyevu?
 
Ukifanikiwa kama hautokuwa mgonjwa,basi utakuwa na tatizo mahali
yani hilo zoezi lako ni sawa na kukaa wiki mbili bila kula wala kunywa
 
Ili kudhibitisha hilo aje na picha ya operation ya kukatwa mapumbu au mboo 🤣 hapo ntaamini yupo serious. Vinginevyo kiapo hicho kitakuwa ni sawa na vigano na visasili tu.
Unapenda kiswahili wewe dogo ulipata A nn!?
 
Za jioni wandugu

Wanasema kisichokuua kinakufanya uwe ngangari

Mimi mwana JF mwenzenu leo hii nimeamua kujipa adhabu kali ambayo inanitisha na kunifurahisha kwa pamoja mpaka sielewi kabisa

In short nimechoka hii tabia ya uzinzi uzinzi ninaofanya yaani uchafu mwingi nimekuwa naufanya toka October last year hadi nimeanza kuwa addicted kidogo kama mlevi of course wote ni watu wazima hapa najua mmenielewa vyema basi leo hii wana Jf ninekuja kwenu kutangaza kuwa kwa siku 1000 toka leo simwagi shahawa zangu tena kwa njia yeyote iwe sex au punyere

Ntarudi kufukua huu uzi 24/10/2027 mark my words

Usiku mwemeni nyote!!

Eeh Mwenyezi Mungu nitangulie 🙏
Ulikuwa US kipindi cha Biden nini?
 
Inawezekana bila shida it depends na vipaumbele alivyojiwekea na lengo hasa ni nini.. ngono kwanza ni dhambi labda kama hauna imani lkn pia ngono ni mikosi na ndio maaana ni njia ya vijana wengi kukwama kiuchumi. Ukiwa na ratiba ngumu ya kazi zako na mazoezi makali kwa ajili ya kujilinda na mawazo ya Kingono utaitaj kulala tu
Naam mkuuu
 
Back
Top Bottom