MaT2B
JF-Expert Member
- Jul 12, 2019
- 658
- 2,081
Ndio maana baadhi ya wanawake wakianza kupokea sperms , wananenepa.Sawa
PUre protein
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana baadhi ya wanawake wakianza kupokea sperms , wananenepa.Sawa
Utakosa usingiz siku 2...3, mood change siku 7 za mwanzo, ndani wiki 4-7 unaweza pata wetdreams 2, yote hayo ni kawaida. Baada ya miezi 2 hali ita normalize. Jiepushe kutumia vilevi kama starehe mbadala, kaa mbali na porn, nyege zikikukaba funga chakula, jizoeshe kukaa njaa siku 1 au 2. Baada ya miezi 3 utajionea faida nyingi na maisha yako yatabadilika kuwa mazuri. Kila la kheri Mkuu.Hiyo ni natural ways sio forced ways..
utake usitake zitamwagika tuZa jioni wandugu
Mimi mwana JF mwenzenu leo hii nimeamua kujipa adhabu kali ambayo inanitisha na kunifurahisha kwa pamoja mpaka sielewi kabisa
In short nimechoka hii tabia ya uzinzi uzinzi ninaofanya yaani uchafu mwingi nimekuwa naufanya toka October last year hadi nimeanza kuwa addicted kidogo kama mlevi of course wote ni watu wazima hapa najua mmenielewa vyema basi leo hii wana Jf ninekuja kwenu kutangaza kuwa kwa siku 1000 toka leo simwagi shahawa zangu tena kwa njia yeyote iwe sex au punyere
Ntarudi kufukua huu uzi 24/10/2027 mark my words
Usiku mwemeni nyote!!
Eeh Mwenyezi Mungu nitangulie 🙏
Ubarikiwe mkuuuUtakosa usingiz siku 2...3, mood change siku 7 za mwanzo, ndani wiki 4-7 unaweza pata wetdreams 2, yote hayo ni kawaida. Baada ya miezi 2 hali ita normalize. Jiepushe kutumia vilevi kama starehe mbadala, kaa mbali na porn, nyege zikikukaba funga chakula, jizoeshe kukaa njaa siku 1 au 2. Baada ya miezi 3 utajionea faida nyingi na maisha yako yatabadilika kuwa mazuri. Kila la kheri Mkuu.
Ndo mimi sasa 😅😅😅 zilinipenda nakuwa msoft hatariNdio maana baadhi ya wanawake wakianza kupokea sperms , wananenepa.
PUre protein
Tumia akili.....tatizo watanzqnia wengi mna akili kiduchuNenda jukwaa la siasa
Sema sio zote, kuna za wengine zinachosha, ni kama sumu.Ndo mimi sasa 😅😅😅 zilinipenda nakuwa msoft hatari
isha nitokea mkuu, yaani una kuwa Kama Kuna joto ndani ya uume.Nlikaaga miaka karibia miwili bila sex, ilifika muda nlikuwa nasikilizia bao kwenye urethra, Yani unakuta umesimama tu barabarani ila unapata sensation kwa mbaali kama vile bao linakuja, wakati hapo hujasimamisha uume, ila io sensation unaipata PSL god
Nimeweka kiapo cha ukweli kabisa mbele yenu nyote siwezi kudanganya ili nijifurahishe nafsi mkuuu siwezi kabisaIngekuwa baada ya hichi kiapo chako ukisaliti unakufa apo sawa vinginevyo hizi ni bla blah tu, utakuja 2027 kusema hukufanya ila hakuna ushahidi woote
Mkuu nilisha kaa mwaka no sex, mambo ni mengi.Ingekuwa baada ya hichi kiapo chako ukisaliti unakufa apo sawa vinginevyo hizi ni bla blah tu, utakuja 2027 kusema hukufanya ila hakuna ushahidi wowote.
Huyo hana maokotoSema sio zote, kuna za wengine zinachosha, ni kama sumu.
Kuwa makini