Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

Mboo itakua inauma hatari,me nilijipa adhabu ya kukaa miezi mitatu bila kutiana niliweza miezi miwili tu,mashine ikawa inauma kumbe ni shahawa zimezidi zinahitaji kutolewa..siku nilipomshika bibie mmoja hivi nikamchapa mbupu nilimwaga kama ndoo nzima ya shahawa.
Chaiii eti ndooo
 
Nlikaaga miaka karibia miwili bila sex, ilifika muda nlikuwa nasikilizia bao kwenye urethra, Yani unakuta umesimama tu barabarani ila unapata sensation kwa mbaali kama vile bao linakuja, wakati hapo hujasimamisha uume, ila io sensation unaipata PSL god
Eeeh i want to feel it na mimi ngoja nijaribu
 
Asante sana kwa kujitekenya

Kila la heri katika harakati za kupingana na nature

Kesho asubuhi tu hapo uje na ushuhuda
Joanah kuna mtu aliwahi kaa 3 years bila hiyo kitu ni kweli ila ni ngumu kuamini ila ni ukweli kabisa
 
labda kwa uwezo wa roho mtakatifu ila hiv hivi hutoboi 😅😂
 
Mtoaa mada baada ya kupiga punyeto genye zimeishaa umefunguaa uzi,
Ngoja baada ya siku 2 urudi apaa tena.
 
Za jioni wandugu

Mimi mwana JF mwenzenu leo hii nimeamua kujipa adhabu kali ambayo inanitisha na kunifurahisha kwa pamoja mpaka sielewi kabisa

In short nimechoka hii tabia ya uzinzi uzinzi ninaofanya yaani uchafu mwingi nimekuwa naufanya toka October last year hadi nimeanza kuwa addicted kidogo kama mlevi of course wote ni watu wazima hapa najua mmenielewa vyema basi leo hii wana Jf ninekuja kwenu kutangaza kuwa kwa siku 1000 toka leo simwagi shahawa zangu tena kwa njia yeyote iwe sex au punyere

Ntarudi kufukua huu uzi 24/10/2027 mark my words

Usiku mwemeni nyote!!

Eeh Mwenyezi Mungu nitangulie 🙏
CCM NI WAPUMBAVU SANA
 
Umeogopa baada ya kusikia marekani imejitoa kwenye kutoa misaada, tumegundua janja zako baada ya kusikia ARV hazitapatikana
Ni hatari mkuu ni hatari
 
Za jioni wandugu

Mimi mwana JF mwenzenu leo hii nimeamua kujipa adhabu kali ambayo inanitisha na kunifurahisha kwa pamoja mpaka sielewi kabisa

In short nimechoka hii tabia ya uzinzi uzinzi ninaofanya yaani uchafu mwingi nimekuwa naufanya toka October last year hadi nimeanza kuwa addicted kidogo kama mlevi of course wote ni watu wazima hapa najua mmenielewa vyema basi leo hii wana Jf ninekuja kwenu kutangaza kuwa kwa siku 1000 toka leo simwagi shahawa zangu tena kwa njia yeyote iwe sex au punyere

Ntarudi kufukua huu uzi 24/10/2027 mark my words

Usiku mwemeni nyote!!

Eeh Mwenyezi Mungu nitangulie 🙏
Hujapigwa baridi wewe utarudi CHAPUTA kwa kasi ya 5G
 
Back
Top Bottom