Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Nasomaga toka uanze hii movement yako mkuu, niseme tu uko vzr kufanya kazi uliyopaswa kufanya! Ila wazee wenzio wamekustukia hawatoi lolote linalohusu lengo lako japo najua kusema au kukaa kwao kimia ni sehem ya majibu uliyotaka pia.

Najua umenielewa, all in all

Nikushauri kwa akili yangu ndogo maisha matamu yapo kwenye uwezo wa kiwa wealth sio rich.
Ukiwa katika line hiyo utaenjoy sana uwepo wako hapa Duniani.

Amigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasomaga toka uanze hii movement yako mkuu, niseme tu uko vzr kufanya kazi uliyopaswa kufanya! Ila wazee wenzio wamekustukia hawatoi lolote linalohusu lengo lako japo najua kusema au kukaa kwao kimia ni sehem ya majibu uliyotaka pia.

Najua umenielewa, all in all

Nikushauri kwa akili yangu ndogo maisha matamu yapo kwenye uwezo wa kiwa wealth sio rich.
Ukiwa katika line hiyo utaenjoy sana uwepo wako hapa Duniani.

Amigo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasomaga toka uanze hii movement yako mkuu, niseme tu uko vzr kufanya kazi uliyopaswa kufanya!
Ila wazee wenzio wamekustukia
( wamenishtukiaje Mr Kwan mm nadanganya?)
hawatoi lolote linalohusu lengo lako japo najua kusema au kukaa kwao kimia ni sehem ya majibu uliyotaka pia.
( Mbn Kuna majibu mazuri kama Lile la RSO na DSO)
Najua umenielewa, all in all

Nikushauri kwa akili yangu ndogo maisha matamu yapo kwenye uwezo wa kiwa wealth sio rich.
Ukiwa katika line hiyo utaenjoy sana uwepo wako hapa Duniani.

Amigo
(All in all nimekuelewa Asante kwa ushauri wako japo)

Screenshot_20210917-082733.jpg




Japo nikuhakikishie nikifanikiwa wealth itakuja tuu mambo mengi yapo kwa head as capital is huge problem

Material possession hujaga tuu
 
nyboma
Amenishauri haya kwenye Uzi mmoja

Sasa wakuu Bora hata mikoani hapa jijini da



Ukitaka nafasi ya kuwa TISS mbona kazi ndogo sana mtafute RSO wa mkoa uliopo hakikisha unaifahamu vyema ratiba yake.

Ni kawaida, wengi wao ni watu wa vinywaji hakikisha unamsoma vyema hasa kiwanja anachopendelea kunywa bia.

Ukifanikiwa hilo, siku akiwa anakunywa bia pita msalimie then nenda zako kakae sehemu ambayo unahakikisha anakuona vyema.

Then baada ya muda kupita ita mhudumu mpelekee bia hata mbili ama tatu, tulia mwenyewe atauliza zimetoka wapi mhudumu atakunyooshea kidole na wewe bila ajizi onesha alama ya kama kushukuru.

Mkionana maeneo hayohayo kwa siku kama tatu mwenyewe atakukaribisha kwenye meza anayokunywa sasa hapo ongea story za kawaida then mkionana kwa siku za mbeleni tena jitahidi kugusia changamoto mbili tatu za maisha mwisho ipo siku mwenyewe atakupa fursa ya kujaza fomu hawa ndio hutumiwa kuchagua vijana kutoka mkoa husika.

Hakikisha unakuwa kijana smart na mwenye nidhamu ya hali ya juu ambayo itamfanya hata yeye asijiulize mara mbili tatu kukupa fursa.

Kila la kheri
 
Kumbe ni wengi wanavutiwa nayo kwenye page ya Tiss maswali ni kama1 m
 
Sure mkuu unajua nimewaza sana ! Nikahisi labda kuna njia ya underground huwa wanapita

Ila kuna mdau hapo juu ndo kanifungua macho kasema huwa wanapitia TRA

Wewe siku nenda pale zuga zuga hata masaa mawili uone yani hamna movement yoyote
Nadhani pale ni Quarters mzee
 
Back
Top Bottom