Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Tafuta connection kwa RSO ni mshkaji tu hana noma chekibobu flani hivi
WA mkoa gani sasa hapo ndo kazi Mr na namba
Maana Mimi nilimuona mmoja WA mkoa flan alienda sehemu na Vieete yake na Note book ilitokea kitukikubwa wasingeingilia Leo hii Tanzania tungepumulia Carbon dioxide Mr.


Jamaa nadhani anachembechembe za Usudani kwa Rangi Ile, ila alionekana yupo simple maana amefanana na jirani mmoja marehemu alikuwa mwalimu wa Advance, kila kitu inaonyesha hata na tabia wanafanana na fegi na pombe kama alivyokuwa Mzee Late Apsn Mwagnnd




USHAURI WAKO NI SUPER PROBABLY WW UK KW SYSTEM
 
hawa jamaa kwakweli mambo yao hayaeleweki na ya siri sana .. mfano pale stesheni kuna ofisi yao ila hata siku moja sijawai kuona mtu anaingia wala kutoka sasa sjui huwa wanapitia wapi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nimecheka eti sijui wanapitia wapi.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nimecheka eti sijui wanapitia wapi.
Sure mkuu unajua nimewaza sana ! Nikahisi labda kuna njia ya underground huwa wanapita

Ila kuna mdau hapo juu ndo kanifungua macho kasema huwa wanapitia TRA

Wewe siku nenda pale zuga zuga hata masaa mawili uone yani hamna movement yoyote
 
Sijajua utaratibu ukoje rasmi ila nnachoweza kukueleza na najua haitaathuri usalama ni kuwa mara ya mwisho wamerecruit watu ni mwaka 2019 for two years sasa hawajaendesha kozi yao.
Kupata hakuna ulazima wa kuyafanya uliyoyafanya ila lazima ukidhi vigezo
 
Sure mkuu unajua nimewaza sana ! Nikahisi labda kuna njia ya underground huwa wanapita

Ila kuna mdau hapo juu ndo kanifungua macho kasema huwa wanapitia TRA

Wewe siku nenda pale zuga zuga hata masaa mawili uone yani hamna movement yoyote
Location ni wapi maana huku PSSF Tower huku TRA HQ huku Sehemu ya Matakataka
 
Sijajua utaratibu ukoje rasmi ila nnachoweza kukueleza na najua haitaathuri usalama ni kuwa mara ya mwisho wamerecruit watu ni mwaka 2019 for two years sasa hawajaendesha kozi yao.
Kupata hakuna ulazima wa kuyafanya uliyoyafanya ila lazima ukidhi vigezo
2019 ndomaana mkuu Asante sana mtaalam



HUJAPATA MAPACHA 3 BADO
 
Sijajua utaratibu ukoje rasmi ila nnachoweza kukueleza na najua haitaathuri usalama ni kuwa mara ya mwisho wamerecruit watu ni mwaka 2019 for two years sasa hawajaendesha kozi yao.
Kupata hakuna ulazima wa kuyafanya uliyoyafanya ila lazima ukidhi vigezo
Unaweza kugusia
Vigezo au urefu wa Course maana hao wa 2019 watakua bado mapambanoni au?.






Ila Asante sana
 
Sijajua utaratibu ukoje rasmi ila nnachoweza kukueleza na najua haitaathuri usalama ni kuwa mara ya mwisho wamerecruit watu ni mwaka 2019 for two years sasa hawajaendesha kozi yao.
Kupata hakuna ulazima wa kuyafanya uliyoyafanya ila lazima ukidhi vigezo
Probably baada ya Mpare
Screenshot_20210916-181616.jpg
 
Location ni wapi maana huku PSSF Tower huku TRA HQ huku Sehemu ya Matakataka
Baada ya geti la kuingia pale TRC geti linalofata kubwa la kijani opposite kuna bajaj ...kagonge hapo utafunguliwa
 
Baada ya geti la kuingia pale TRC geti linalofata kubwa la kijani opposite kuna bajaj ...kagonge hapo utafunguliwa
Kumbe kule nitaenda ila sio kugonga na nadhani geti la KIJANI ni la uhani na sio RASMI wanalotumia
 
Baada ya geti la kuingia pale TRC geti linalofata kubwa la kijani opposite kuna bajaj ...kagonge hapo utafunguliwa
Screenshot_20210916-184643.jpg




Jamaa aliyeweka. Kwa google map ndo kakosea angalia Umbali wa TRC na alipoonyesha yeye
 
Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwana intelligence buila mafanikio tiss kuna nn

Uzi za watu wengi JamiiForum unapotosha eti kuwa TISS (usalama wa taifa) uwe na kadi ya CCM au mwana CCM au green guard.

Vyote wanavyosema unatakiwa uvifanye ili kuwa usalama wa taifa nimevifanya na nimeangukia patupu

Kuwa scout na bidii kubwa

Kuwa green guard na bidii kubwa

Kuwa mwana UVCCM na bidii kubwa

Kupitia jkt na bidii kubwa

Kusoma chuo tena nikasoma CFR chuo cha diplomasia na bidii kubwa

Kuhitimu from kindergarten tena na ufaulu wa juu na bidii kubwa

Kutafuta connection za watu ndani ya idara na bidii kubwa

Spend time in clubs na bar zilizojaa hawa watu na bidii kubwa

Pamoja na ndugu zangu kuwa huko idarani ambao ni wa staafu psu kipindi cha jemedari na bidii kubwa

Ila huwezi amini ni bila bila mwaka huu naenda police hatimaye ili kujipunguzia maumivu ya kukosa kazi idara hii

Niseme ukweli watu tunavyutiwa na:

Maneno ya kuna pesa nyingi na ma posho posho bila kujua kwa undani

Filamu na story za kijasusi

Lakini tunaona tuu pale ni kaanani opposite na St Peters na most Osterbay ina kufika hatufiki naomba ambao wapo kama mimi tukutane maana kipindi nipo jkt kuna jamaa alikuwa ana bidii na vyeti alipewa ina tupo pamoja tuuu

Nadhani ugumu unakuwa kujibu maswali haya.

1. Mawakala kina nani

2.Usaili wapi

3.Depo mwezi gani

Mpaka na jiuliza kipindi cha mwendazake ajira zilisitishwa na kipindi cha mama vipi maana wengi wameingia kipindi cha kikwete na mkapa

Mwenye kutaka ushauri au intel yeyote anione pm au dm

Watanzania tuna wa overate sana na kuwakuza sana

Late JPM alisema mtu aliwa anajua kukaa mguu pande na sawa means normal common sense tuu anaweza kusailiwa chombo chochote cha ulinzi na usalama

Sasa hii ya kudanganya watu et ts wanaangalia ukimya wa watu tz kuna wanafunzi ma laki

Kuna wananchi zaidi ya million 60 tutasema kuna watu wanaangalia kila mmoja ili wawaingize ts ni uwongo

Kuna waliopitia jkt na wakapata nafasi ya kuwa mafunzoni na watoto wa wakubwa waliowaambia wanaokuja kesho ni ts wanaofanya usaili

Na kweli kesho wake wakawasili na gear wanataka wafanyakazi wa kusimamia na kufanya kazi beach

Mara wafagia maofisi ya ma DC na ma RC

Tukubali kuna watu qamefanikiwa kujiunga huko kutokana na

1.Bahati

2.Watoto wa wakuu vyombo vyingine vya usalama na ulinzi

3.Watoto wa wanasiasa

Hao ndo wamejaa huko mambo ya sijui wanapita chuo mara jkt mara nn

Ilikuwa ni bahati tuu ya kipindi cha Kikwete


Wakuu nimefanya uzalendo kwa nchi hii acheni tuuu
1.KUOMBEA TAIFA

2.KUSHIRIKI KUZIMA MOTO KILIMANJARO AMBAYO NINA DOCUMENTARY YANGU HUKU

3.KU EDIT MADA MBAYA KUWA NZURI KUHUSU TISS WIKIPEDIA

HASA ZILIZOKUWA ZINAMHUSU KUPIGWA RISASI TUNDU LISU NA KUFUTA KUMHUSISHA
DGIS FRANSIS MODESTUS KIPILIMBA

ACHENI TUU WAZEE
sasa ulivyoambiwa kuna ajira za kufagia ofisini kwa DC kwanini hukwenda alafu unakuja kulalamika hapa alafu walikuona kiazi kama ulishindwa kutambua code nyepesi kama iyo ndio ungeweza kazi za tiss bora ubaki huko ukakamate mateja
 
sasa ulivyoambiwa kuna ajira za kufagia ofisini kwa DC kwanini hukwenda alafu unakuja kulalamika hapa alafu walikuona kiazi kama ulishindwa kutambua code nyepesi kama iyo ndio ungeweza kazi za tiss bora ubaki huko ukakamate mateja
UMEELEWA KWELI KWELI AU?


CHANCE ZA KITAMBO HIZO JK TIME
 
Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwana intelligence buila mafanikio tiss kuna nn

Uzi za watu wengi JamiiForum unapotosha eti kuwa TISS (usalama wa taifa) uwe na kadi ya CCM au mwana CCM au green guard.

Vyote wanavyosema unatakiwa uvifanye ili kuwa usalama wa taifa nimevifanya na nimeangukia patupu

Kuwa scout na bidii kubwa

Kuwa green guard na bidii kubwa

Kuwa mwana UVCCM na bidii kubwa

Kupitia jkt na bidii kubwa

Kusoma chuo tena nikasoma CFR chuo cha diplomasia na bidii kubwa

Kuhitimu from kindergarten tena na ufaulu wa juu na bidii kubwa

Kutafuta connection za watu ndani ya idara na bidii kubwa

Spend time in clubs na bar zilizojaa hawa watu na bidii kubwa

Pamoja na ndugu zangu kuwa huko idarani ambao ni wa staafu psu kipindi cha jemedari na bidii kubwa

Ila huwezi amini ni bila bila mwaka huu naenda police hatimaye ili kujipunguzia maumivu ya kukosa kazi idara hii

Niseme ukweli watu tunavyutiwa na:

Maneno ya kuna pesa nyingi na ma posho posho bila kujua kwa undani

Filamu na story za kijasusi

Lakini tunaona tuu pale ni kaanani opposite na St Peters na most Osterbay ina kufika hatufiki naomba ambao wapo kama mimi tukutane maana kipindi nipo jkt kuna jamaa alikuwa ana bidii na vyeti alipewa ina tupo pamoja tuuu

Nadhani ugumu unakuwa kujibu maswali haya.

1. Mawakala kina nani

2.Usaili wapi

3.Depo mwezi gani

Mpaka na jiuliza kipindi cha mwendazake ajira zilisitishwa na kipindi cha mama vipi maana wengi wameingia kipindi cha kikwete na mkapa

Mwenye kutaka ushauri au intel yeyote anione pm au dm

Watanzania tuna wa overate sana na kuwakuza sana

Late JPM alisema mtu aliwa anajua kukaa mguu pande na sawa means normal common sense tuu anaweza kusailiwa chombo chochote cha ulinzi na usalama

Sasa hii ya kudanganya watu et ts wanaangalia ukimya wa watu tz kuna wanafunzi ma laki

Kuna wananchi zaidi ya million 60 tutasema kuna watu wanaangalia kila mmoja ili wawaingize ts ni uwongo

Kuna waliopitia jkt na wakapata nafasi ya kuwa mafunzoni na watoto wa wakubwa waliowaambia wanaokuja kesho ni ts wanaofanya usaili

Na kweli kesho wake wakawasili na gear wanataka wafanyakazi wa kusimamia na kufanya kazi beach

Mara wafagia maofisi ya ma DC na ma RC

Tukubali kuna watu qamefanikiwa kujiunga huko kutokana na

1.Bahati

2.Watoto wa wakuu vyombo vyingine vya usalama na ulinzi

3.Watoto wa wanasiasa

Hao ndo wamejaa huko mambo ya sijui wanapita chuo mara jkt mara nn

Ilikuwa ni bahati tuu ya kipindi cha Kikwete


Wakuu nimefanya uzalendo kwa nchi hii acheni tuuu
1.KUOMBEA TAIFA

2.KUSHIRIKI KUZIMA MOTO KILIMANJARO AMBAYO NINA DOCUMENTARY YANGU HUKU

3.KU EDIT MADA MBAYA KUWA NZURI KUHUSU TISS WIKIPEDIA

HASA ZILIZOKUWA ZINAMHUSU KUPIGWA RISASI TUNDU LISU NA KUFUTA KUMHUSISHA
DGIS FRANSIS MODESTUS KIPILIMBA

ACHENI TUU WAZEE
Unajitahidi kweli kuufahamu ukweli ni upi, naona unakusanya tu madodoso yako!
 
Back
Top Bottom