Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sio fani zote. Kazi ya intelligence officer ni analysis. Ndio maana nchi nyingine waliosoma sheria ndo hupewa kipaumbele. Ikija tip kwamba osama alimpeleka nduguye hospital anaeenda kuchambua taarifa za majibu ya hospital sio mtu wa medicine, ni intelligence officer.Uongo fani zote zipo mfano Osama bin Laden walimdaka madaktari kupitia clinic za watoto wake walipoenda hospital chanjo ya watoto wakacheck DNA kwenye damu wakagundua yafanana na Osama wakawapa taarifa intelligence ikawafuatilia nyumba walikotokea wakagundua sio ya kawaida behavior yake na walipofuatilia zaidi wakakiona kibabu Osama yuko ndani wakamshukia kama mwewe kuua
Usalama wa nchi ni wa kila mwananchi na kila mzalendo
Fani zote ziko usalama wa Taifa hakuna hata moja isiyokuwepo
KABISAHapana sio fani zote. Kazi ya intelligence officer ni analysis. Ndio maana nchi nyingine waliosoma sheria ndo hupewa kipaumbele. Ikija tip kwamba osama alimpeleka nduguye hospital anaeenda kuchambua taarifa za majibu ya hospital sio mtu wa medicine, ni intelligence officer.
Weee wapi nlsema hvyooooo😂NIELEZEE PROBLEM GANI MAANA NAKUMBUKA ULISEMA MZEE WAKO AMEPIGA JOB HII
TISS hawajawahi taka mtu anayewatakaNakumbukumbu ya 7 G Mzee [emoji23][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji23]
Ndo maana nashangaa nimepitia yote hayo TEETH hawanioni tuuu
OkHapo kusema DGISS halijui umeniacha kwa mataa sasa unaongozaje kitu hukijui?
SawaOngeza nyama Mzee mifupa itatumaliza
TPDF wako wazi toka lini?? Usiseme miaka wakina kikwete kwenda chini,TISS WATAANGAZE KAZI WAZI SASA WANAFICHA NN AKAT TPDF WAKO WAZI
NCHI ZA WEZETU UKO WAZI NDO MAANA WATU KAMA SISI INAKUWA RAISI KUPEWA VITENGO NA KUCHAPA KAZI VIZURI
NAKUMBUKA KUNA MI5 MMOJA WINGEREZA AMEKUFA MIAKA 3 NDO MKEO AKAJUA KAZI YA MUME WAKE BAADA YA KISOMA DIARY NA KUMBUKA HAPO NI BAADA YA MIAKA ZAIDI YA 15 YA NDOA JAMAA ANAMUAGA KWENDA KAZINI AKIMWAMBIA NI ENGINEER KUMBE JASUSI WA MI5
SHIRIKA LA NDANI LA UWINGEREZA
View attachment 1935990
....system ina mtiririko wake maalum ambao umerithiwa kizazi na kizazi...blaza...kule hujipeleki...hakuna mtihani wala hakuna cha undugu....system ina mtiririko wake maalum ambao umerithiwa kizazi na kizazi....kuna comment moja hapo juu wamesema utumwa.....hakika ni utumwa utumwani.....uhuru wako umeukabidhi kwa TAIFA lako.......unaweza kuwa na assignemt hata ya kumuangusha nduguyo wa karibu sbb ndio inaweza kuwa suluhusho........KIKUBWA WELEDI NA UZALENDO......jua hakuna kustaafu.........wako mpaka wa std 7......akili ya kuzaliwa ndio muhimu...kutumia silaha unafundishwa so....wewe tengeneza your life tunza familia yako....silaha zinauzwa...vigezo muhimu....achana na hii ishu.....
......jua hakuna kustaafu......blaza...kule hujipeleki...hakuna mtihani wala hakuna cha undugu....system ina mtiririko wake maalum ambao umerithiwa kizazi na kizazi....kuna comment moja hapo juu wamesema utumwa.....hakika ni utumwa utumwani.....uhuru wako umeukabidhi kwa TAIFA lako.......unaweza kuwa na assignemt hata ya kumuangusha nduguyo wa karibu sbb ndio inaweza kuwa suluhusho........KIKUBWA WELEDI NA UZALENDO......jua hakuna kustaafu.........wako mpaka wa std 7......akili ya kuzaliwa ndio muhimu...kutumia silaha unafundishwa so....wewe tengeneza your life tunza familia yako....silaha zinauzwa...vigezo muhimu....achana na hii ishu.....
nimekudokezea tuu...aidha hujui ukitakacho.....tafuta peza BLAZA.......endelea kuwa JUHA tuu.....maana inawezekana hata wewe ni KUWADI fulani..........jua hakuna kustaafu......
Unaongelea TISS au ISI?