Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

nimekudokezea tuu...aidha hujui ukitakacho.....tafuta peza BLAZA.......endelea kuwa JUHA tuu.....maana inawezekana hata wewe ni KUWADI fulani....
aidha hujui ukitakacho..


Kumbe ww n TISS office zenu Rwanda zinapatikana wapi?
 
Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwana intelligence buila mafanikio tiss kuna nn

Uzi za watu wengi JamiiForum unapotosha eti kuwa TISS (usalama wa taifa) uwe na kadi ya CCM au mwana CCM au green guard.

Vyote wanavyosema unatakiwa uvifanye ili kuwa usalama wa taifa nimevifanya na nimeangukia patupu

Kuwa scout na bidii kubwa

Kuwa green guard na bidii kubwa

Kuwa mwana UVCCM na bidii kubwa

Kupitia jkt na bidii kubwa

Kusoma chuo tena nikasoma CFR chuo cha diplomasia na bidii kubwa

Kuhitimu from kindergarten tena na ufaulu wa juu na bidii kubwa

Kutafuta connection za watu ndani ya idara na bidii kubwa

Spend time in clubs na bar zilizojaa hawa watu na bidii kubwa

Pamoja na ndugu zangu kuwa huko idarani ambao ni wa staafu psu kipindi cha jemedari na bidii kubwa

Ila huwezi amini ni bila bila mwaka huu naenda police hatimaye ili kujipunguzia maumivu ya kukosa kazi idara hii

Niseme ukweli watu tunavyutiwa na:

Maneno ya kuna pesa nyingi na ma posho posho bila kujua kwa undani

Filamu na story za kijasusi

Lakini tunaona tuu pale ni kaanani opposite na St Peters na most Osterbay ina kufika hatufiki naomba ambao wapo kama mimi tukutane maana kipindi nipo jkt kuna jamaa alikuwa ana bidii na vyeti alipewa ina tupo pamoja tuuu

Nadhani ugumu unakuwa kujibu maswali haya.

1. Mawakala kina nani

2.Usaili wapi

3.Depo mwezi gani

Mpaka na jiuliza kipindi cha mwendazake ajira zilisitishwa na kipindi cha mama vipi maana wengi wameingia kipindi cha kikwete na mkapa

Mwenye kutaka ushauri au intel yeyote anione pm au dm

Watanzania tuna wa overate sana na kuwakuza sana

Late JPM alisema mtu aliwa anajua kukaa mguu pande na sawa means normal common sense tuu anaweza kusailiwa chombo chochote cha ulinzi na usalama

Sasa hii ya kudanganya watu et ts wanaangalia ukimya wa watu tz kuna wanafunzi ma laki

Kuna wananchi zaidi ya million 60 tutasema kuna watu wanaangalia kila mmoja ili wawaingize ts ni uwongo

Kuna waliopitia jkt na wakapata nafasi ya kuwa mafunzoni na watoto wa wakubwa waliowaambia wanaokuja kesho ni ts wanaofanya usaili

Na kweli kesho wake wakawasili na gear wanataka wafanyakazi wa kusimamia na kufanya kazi beach

Mara wafagia maofisi ya ma DC na ma RC

Tukubali kuna watu qamefanikiwa kujiunga huko kutokana na

1.Bahati

2.Watoto wa wakuu vyombo vyingine vya usalama na ulinzi

3.Watoto wa wanasiasa

Hao ndo wamejaa huko mambo ya sijui wanapita chuo mara jkt mara nn

Ilikuwa ni bahati tuu ya kipindi cha Kikwete


Wakuu nimefanya uzalendo kwa nchi hii acheni tuuu
1.KUOMBEA TAIFA

2.KUSHIRIKI KUZIMA MOTO KILIMANJARO AMBAYO NINA DOCUMENTARY YANGU HUKU

3.KU EDIT MADA MBAYA KUWA NZURI KUHUSU TISS WIKIPEDIA

HASA ZILIZOKUWA ZINAMHUSU KUPIGWA RISASI TUNDU LISU NA KUFUTA KUMHUSISHA
DGIS FRANSIS MODESTUS KIPILIMBA

ACHENI TUU WAZEE
sasa unafanya konection na walinzi wa getini wa tiss kweli nafasi zinaishia kwa dso wa wilaya huyo ukiwa na connection nae usipopita umerongwaaaa..ila kumbuka tu na wao pia wanandugu na watoto pia wanatafuta kazi sasa sijui achukuliwe nani haachwe nani?😀😀
 
Kwa bahati mbaya sana, wewe huwatafuti, wao wakijuhitaji watakutafuta, watajua habari zako, watakuita
wanatafuta na wanaajili kama idara nyingine za ulinzi tu msipotoshe wananchi...ila vetting kwao ndio inayozingatiwa zaidi ni kama idara sekritarieti ya ajira wanapozingatia uhalisia wa vyeti vya wasailiwa kwenye interview vile..
 
sasa unafanya konection na walinzi wa getini wa tiss kweli nafasi zinaishia kwa dso wa wilaya huyo ukiwa na connection nae usipopita umerongwaaaa..ila kumbuka tu na wao pia wanandugu na watoto pia wanatafuta kazi sasa sijui achukuliwe nani haachwe nani?😀😀
AISEE

KUMBE DSO ndo mkamata mkono kwahiyo wilaya 300 DSO 300 ndo wanazunguka kwa watu Million 60 kuchagua usalama au?
 
wanatafuta na wanaajili kama idara nyingine za ulinzi tu msipotoshe wananchi...ila vetting kwao ndio inayozingatiwa zaidi ni kama idara sekritarieti ya ajira wanapozingatia uhalisia wa vyeti vya wasailiwa kwenye interview vile..
UNADATA KIDOGO


NAOMBA UINGEZE NYAMA



NADHANI WW N YULE PEUMWE ULIOKUWA KWA TOCHA SASA UPOO SHIMO

CODE KAMA CODE
 
wanatafuta na wanaajili kama idara nyingine za ulinzi tu msipotoshe wananchi...ila vetting kwao ndio inayozingatiwa zaidi ni kama idara sekritarieti ya ajira wanapozingatia uhalisia wa vyeti vya wasailiwa kwenye interview vile..
Nyama zaidi Mr
 
hawa jamaa kwakweli mambo yao hayaeleweki na ya siri sana .. mfano pale stesheni kuna ofisi yao ila hata siku moja sijawai kuona mtu anaingia wala kutoka sasa sjui huwa wanapitia wapi
NIMETOKA KUZUNGUKA HAPO TOKA SAA 11 HADI SAA SABA HAWANIITI WANIPE KAZI TUU NIMEISHIA


kwenye kijiwe cha kahawa pale Steshen katikati wadau kama 30 hivyi vijiwe hivyi


Story zinazotamba ni SIMBA Day


Mdau mmoja kwa jina la Juma wamemuandama sana maana ni Yanga


Nataka nitie Kambi Kila siku mpaka nipate connection maana sio kwa u JOBLESS
huu.


Ila Kariakoo mbaruku street napo asubuhi kulikuwa na mada Tamu kuhusu TISS sema nilikuwa na haraka tuuu.


Mdau mmoja alisema TISS wanaotambuliwa na serikali ni Hawa NEW RECRUITING tuu et wale wenye Zaid ya mwaka mmoja hawatambuliki
Sas sijui ni Information Gathering anafanya au nn
 
Hayo madude ukiyapenda sana hayakutaki na ukiwahuyataki sana yanakupenda😂......

Ngoja waje...
Maisha ni zaidi ya unachokihitaji mkuu....
 
Hayo madude ukiyapenda sana hayakutaki na ukiwahuyataki sana yanakupenda[emoji23]......

Ngoja waje...
Maisha ni zaidi ya unachokihitaji mkuu....
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji28]



Acha tuuuu sipati picha sijui ni illusion ninazo au
 
Hayo madude ukiyapenda sana hayakutaki na ukiwahuyataki sana yanakupenda[emoji23]......

Ngoja waje...
Maisha ni zaidi ya unachokihitaji mkuu....
Maisha ni zaidi ya unachokihitaji mkuu....



Iko wazi
 
NIMETOKA KUZUNGUKA HAPO TOKA SAA 11 HADI SAA SABA HAWANIITI WANIPE KAZI TUU NIMEISHIA


kwenye kijiwe cha kahawa pale Steshen katikati wadau kama 30 hivyi vijiwe hivyi


Story zinazotamba ni SIMBA Day


Mdau mmoja kwa jina la Juma wamemuandama sana maana ni Yanga


Nataka nitie Kambi Kila siku mpaka nipate connection maana sio kwa u JOBLESS
huu.


Ila Kariakoo mbaruku street napo asubuhi kulikuwa na mada Tamu kuhusu TISS sema nilikuwa na haraka tuuu.


Mdau mmoja alisema TISS wanaotambuliwa na serikali ni Hawa NEW RECRUITING tuu et wale wenye Zaid ya mwaka mmoja hawatambuliki
Sas sijui ni Information Gathering anafanya au nn
Si ungeenda kugonga kwenye lile geti la kijani mkuu? Au kama vipi ruka ukuta upande ule wa kwenye kona ingia ndani waambie natafuta kazi
 
Si ungeenda kugonga kwenye lile geti la kijani mkuu? Au kama vipi ruka ukuta upande ule wa kwenye kona ingia ndani waambie natafuta kazi
LA KIJANI SIJALIONA
ASANTE KWA USHAURI WAKO

NITARUKA UKUTA ILA NAWAZA UWEZO WA KUBEBA CV TUU MFUKONI NA KUNYANYUA MIKONO HARAKA NIKIFIKA/ TUA CHINI MAANA SIO KWA BASTOLA HIZO ZITAKAZOKUJA KUNINYOOSHEA
 
Si ungeenda kugonga kwenye lile geti la kijani mkuu? Au kama vipi ruka ukuta upande ule wa kwenye kona ingia ndani waambie natafuta kazi
Kwa nn upo hapo usi ni promote Mr maana CV umeiona
 
Back
Top Bottom