Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Kuna kitu inaitwa Berreta 9mm
Itakuwa ww n walewale

Screenshot_20210916-200755.jpg



Unamaanisha hiyo sio ww lazima upo kwa syt ww [emoji28][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1787]


Nifanyie mpango
Nikipita na kuajiriwa nusu ya mshahara wangu kwa mwaka utanunulia[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
 
Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwana intelligence buila mafanikio tiss kuna nn

Uzi za watu wengi JamiiForum unapotosha eti kuwa TISS (usalama wa taifa) uwe na kadi ya CCM au mwana CCM au green guard.

Vyote wanavyosema unatakiwa uvifanye ili kuwa usalama wa taifa nimevifanya na nimeangukia patupu

Kuwa scout na bidii kubwa

Kuwa green guard na bidii kubwa

Kuwa mwana UVCCM na bidii kubwa

Kupitia jkt na bidii kubwa

Kusoma chuo tena nikasoma CFR chuo cha diplomasia na bidii kubwa

Kuhitimu from kindergarten tena na ufaulu wa juu na bidii kubwa

Kutafuta connection za watu ndani ya idara na bidii kubwa

Spend time in clubs na bar zilizojaa hawa watu na bidii kubwa

Pamoja na ndugu zangu kuwa huko idarani ambao ni wa staafu psu kipindi cha jemedari na bidii kubwa

Ila huwezi amini ni bila bila mwaka huu naenda police hatimaye ili kujipunguzia maumivu ya kukosa kazi idara hii

Niseme ukweli watu tunavyutiwa na:

Maneno ya kuna pesa nyingi na ma posho posho bila kujua kwa undani

Filamu na story za kijasusi

Lakini tunaona tuu pale ni kaanani opposite na St Peters na most Osterbay ina kufika hatufiki naomba ambao wapo kama mimi tukutane maana kipindi nipo jkt kuna jamaa alikuwa ana bidii na vyeti alipewa ina tupo pamoja tuuu

Nadhani ugumu unakuwa kujibu maswali haya.

1. Mawakala kina nani

2.Usaili wapi

3.Depo mwezi gani

Mpaka na jiuliza kipindi cha mwendazake ajira zilisitishwa na kipindi cha mama vipi maana wengi wameingia kipindi cha kikwete na mkapa

Mwenye kutaka ushauri au intel yeyote anione pm au dm

Watanzania tuna wa overate sana na kuwakuza sana

Late JPM alisema mtu aliwa anajua kukaa mguu pande na sawa means normal common sense tuu anaweza kusailiwa chombo chochote cha ulinzi na usalama

Sasa hii ya kudanganya watu et ts wanaangalia ukimya wa watu tz kuna wanafunzi ma laki

Kuna wananchi zaidi ya million 60 tutasema kuna watu wanaangalia kila mmoja ili wawaingize ts ni uwongo

Kuna waliopitia jkt na wakapata nafasi ya kuwa mafunzoni na watoto wa wakubwa waliowaambia wanaokuja kesho ni ts wanaofanya usaili

Na kweli kesho wake wakawasili na gear wanataka wafanyakazi wa kusimamia na kufanya kazi beach

Mara wafagia maofisi ya ma DC na ma RC

Tukubali kuna watu qamefanikiwa kujiunga huko kutokana na

1.Bahati

2.Watoto wa wakuu vyombo vyingine vya usalama na ulinzi

3.Watoto wa wanasiasa

Hao ndo wamejaa huko mambo ya sijui wanapita chuo mara jkt mara nn

Ilikuwa ni bahati tuu ya kipindi cha Kikwete


Wakuu nimefanya uzalendo kwa nchi hii acheni tuuu
1.KUOMBEA TAIFA

2.KUSHIRIKI KUZIMA MOTO KILIMANJARO AMBAYO NINA DOCUMENTARY YANGU HUKU

3.KU EDIT MADA MBAYA KUWA NZURI KUHUSU TISS WIKIPEDIA

HASA ZILIZOKUWA ZINAMHUSU KUPIGWA RISASI TUNDU LISU NA KUFUTA KUMHUSISHA
DGIS FRANSIS MODESTUS KIPILIMBA

ACHENI TUU WAZEE
Kwa kubwatuka namna hui, hawatakuchukua kamwe. Sifa yao mojawapo ni vitendo na si maneno hasa ya kujisifu.
 
Kwa kubwatuka namna hui, hawatakuchukua kamwe. Sifa yao mojawapo ni vitendo na si maneno hasa ya kujisifu.
Ulishawahi kukutana na Theeth hata mmoja akiwa uraiani????
 
Ila wadau
Teeth ilikuwa Exaggerated sana hasa 2010-2021


Wadau WA 2009 walikuwa wanasema office zao zilikuwa Hadi zinapokea raia wakawaida wanaotoa ushauri na kupokea Malalamiko



Arusha DSO alishawahi ekwa ndani on corruption charges


Komba wetu akauwawa et mwizi wa Nissan


Nk nk.

Namwomba mungu sana 2026 niwetayari promoted Makao makuu Theeth
 
Mimi najua fika nina potentials za hiyo kazi ila utafiti wangu ukinionesha sio kazi nzuri ya kufanya kwa mustakabali wa maisha yangu hasa kwa uwezo nilijaaliwa na Mungu! Nakushauri sana achana na hilo wazo,tafuta maisha katika angle nyingine.Sina namna nyingine ya kukuonya usikie!
 
Kwanza utambue hicho unachowaza kukipata si ajira,
Huwa Wana ajira zao za kawaida alafu hicho kinafata haijalishi utakuwa kwenye majeshi au popote ukionekana ulipokuwepo una umuhimu utafatwa na mpaka unafatwa jua tayari wanakujua nidhamu yako toka shule ya msingi na ukoo wako wote unajulikana.
Hivyo ni inavyotakiwa kuwa shangaa ilivyo sasa.........
 
Mimi najua fika nina potentials za hiyo kazi ila utafiti wangu ukinionesha sio kazi nzuri ya kufanya kwa mustakabali wa maisha yangu hasa kwa uwezo nilijaaliwa na Mungu! Nakushauri sana achana na hilo wazo,tafuta maisha katika angle nyingine.Sina namna nyingine ya kukuonya usikie!
UNAJIONGELEA WW ALAFU UNATAKA MM NIFUATE UNAYOYAFANYA AU KUFANYA

KAMA WW UMEFUKUZWA UKO BYE



WATU HADI WAMESTAAFU UNASEMA UMEJALIWA SASA HATA HAUWI MUWAZI UMEJALIWAJE WW N MTOTO WA MPARE WENYE KUITWA DIWANI AU
 
Mimi najua fika nina potentials za hiyo kazi ila utafiti wangu ukinionesha sio kazi nzuri ya kufanya kwa mustakabali wa maisha yangu hasa kwa uwezo nilijaaliwa na Mungu! Nakushauri sana achana na hilo wazo,tafuta maisha katika angle nyingine.Sina namna nyingine ya kukuonya usikie!
(We jamaa ww)
Mimi najua fika nina potentials za hiyo kazi
(Eeh elezea upotentia huo)
kazi ila utafiti wangu
(Elezea utafiti Gani vitabu n.k)
ukinionesha sio kazi nzuri ya kufanya kwa mustakabali wa maisha yangu
(Hahahaha kuwa Africa tuu unamstakabali kama kufa ata ulipolala umeme tuuu unaweza kukuua na kukukausha ajali nk)
hasa kwa uwezo nilijaaliwa na Mungu!
(Elezea uwezo gan)
Nakushauri sana achana na hilo wazo
(Hapo ndo umeharibu kabisa)
tafuta maisha katika angle nyingine.
(Ww umekosa ND unanishauri nitafute angle nyingine hujataga angle gan na CV umeona na unajua mm jobless wa muda mrefu )
Sina namna nyingine ya kukuonya usikie!
(Kunionya Tena)
(Naomba ulale)

(Kwa ulivyoandika bila shaka ww msabato)
 
Back
Top Bottom