Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Unajua maana ya passion
Passion ni zaidi ya pesa
Pesa Huwa ndani yake Mr


Ata talent
Naana mfano JKT nilikuwa wa3 kwa Shabaha tulivyoenda Range
Possible maana mi mdogo angu range alikiua wa kwanza jsk oljoro na wakata kumbakiksha ila akapiga chini akaenda kusoma diploma ya medical kwanza now ndio kajoin tpdf directly maana walimtaka wao.ila hii ni baada ya kukosa kazi ya udaktari
 
Possible maana mi mdogo angu range alikiua wa kwanza jsk oljoro na wakata kumbakiksha ila akapiga chini akaenda kusoma diploma ya medical kwanza now ndio kajoin tpdf directly maana walimtaka wao.ila hii ni baada ya kukosa kazi ya udaktari
Lini ali-join?
 
Possible maana mi mdogo angu range alikiua wa kwanza jsk oljoro na wakata kumbakiksha ila akapiga chini akaenda kusoma diploma ya medical kwanza now ndio kajoin tpdf directly maana walimtaka wao.ila hii ni baada ya kukosa kazi ya udaktari
Walimpigia baada ya miaka yote hiyo au?
 
Possible maana mi mdogo angu range alikiua wa kwanza jsk oljoro na wakata kumbakiksha ila akapiga chini akaenda kusoma diploma ya medical kwanza now ndio kajoin tpdf directly maana walimtaka wao.ila hii ni baada ya kukosa kazi ya udaktari
ACHENI TUU NILIKUWA NATABIA YA KUKESHA LIBRARY
ADVANCE WAKAJA JAMAA KUCHUKUA VYETI VYAO VYA 6 HAPO TAYARI WANA VYETI VYA TPDF WAMEENDA JKT NA KUNA COURSE WALIPITIA
NIKASEMA KUNA WATU WANABAHATI.


SIKILIZA SASA BAHATI YAO.

WOTE WAMESOMA ADVANCE TENA CBG AMNA YA P... WALA P ......
SIJUI NI CONNECTION AU MAANA WOTE WANA DIV2

ADVANCE YETU WAKICHUKUA 3.
MMOJA AKABAKI HAPO MONDULI HAO WAWILI WALIOKUJA SASABAADA YA COURSE MMOJA ANAENDA RUSSIA
NA MWINGINE SIJUI NI CHINA KAMA SIO BULGARIA

kwa ambao hawapendi maandishi makubwa


Nakumbuka tuu jamaa wanaendana kino(urefu)
Mpaka sasa nadhani wananyota zao wamerudi Tz
Sijui mm Nina fail wapi mazeeeew
Hivyi ni Mimi au navijana wenzangu tunafail kwa pamoja?
 
Kajoin mwaka juz now yuko Ruvuma hukoo
TISS WATAANGAZE KAZI WAZI SASA WANAFICHA NN AKAT TPDF WAKO WAZI

NCHI ZA WEZETU UKO WAZI NDO MAANA WATU KAMA SISI INAKUWA RAISI KUPEWA VITENGO NA KUCHAPA KAZI VIZURI



NAKUMBUKA KUNA MI5 MMOJA WINGEREZA AMEKUFA MIAKA 3 NDO MKEO AKAJUA KAZI YA MUME WAKE BAADA YA KISOMA DIARY NA KUMBUKA HAPO NI BAADA YA MIAKA ZAIDI YA 15 YA NDOA JAMAA ANAMUAGA KWENDA KAZINI AKIMWAMBIA NI ENGINEER KUMBE JASUSI WA MI5
SHIRIKA LA NDANI LA UWINGEREZA


View attachment 1935990
 
HASA ZILIZOKUWA ZINAMHUSU KUPIGWA RISASI TUNDU LISU NA KUFUTA KUMHUSISHA
DGIS FRANSIS MODESTUS KIPILIMBA
Duh...!. Kumbe...!. Wengine tulikuwa hatujui, kupitia kwako sasa ndio tumejua!. Masikini wewe ulikuwa hujui, kumbe yote hayo ndio ilikuwa interview yako, kwa taarifa hii uliotoa humu, I'm very sorry kukujulisha kuwa umefeli!.
Pole!.
P
 
Duh...!. Kumbe...!. Wengine tulikuwa hatujui, kupitia kwako sasa ndio tumejua!. Masikini wewe ulikuwa yote hayo ndio ilikuwa interview yako, kwa taarifa hii uliotoa humu, I'm very sorry kukujulisha kuwa umefeli!.
Pole!.
P

mbona kama umepanic mkuu?
 
Screenshot_20210913-133938.jpg


Wenzetu japo wanafanya uwazi kwa recruitment lakini wanafanikiwa
 
Hivi vijana mnaipendea nini Idara ya Usalama wa Taifa?

Vijana wengi mnaoipenda hii Idara kufanyia kazi huko mnaamini TISS ni ulinzi wa Viongozi tu hasa mkiona ule ulinzi wa Rais.

Vipi yakija mabadiriko ya kisheria na suala la ulinzi wa Rais na Viongozi wengine mashuhuri wa Kitaifa na jukumu hilo wakapewa Polisi Tanzania bado mtaendelea kuipenda Idara hata isiyojulikana mambo yake?

Idara imejengwa kwenye misingi ya Usiri mkubwa kuanzia ajira mpaka majukumu yake.
 
Back
Top Bottom