Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
uvccm unaowaona badae wanakuja kuwa usalama ni wale ambao familia zao zipo tangu zamani kwenye inner circel; sio umetoka zako mbwinde huko ukazani kuwa na kijikadi cha chama ndo umemaliza,Ndo ilivyosemekana hujasoma hapo juu
Ilisemekana sana hata hapa jf ooh kila UVCCM Mchongo wa USALAMA n Rais
Napicha za UVCCM na baada walivyokuwa usalama