Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emb elezea zaidi unamaanisha mm nasaka kuwa Informer au?Kwanza utambue hicho unachowaza kukipata si ajira
Huwa Wana ajira zao za kawaida alafu hicho kinafata haijalishi utakuwa kwenye majeshi au popote ukionekana ulipokuwepo una umuhimu utafatwa na mpaka unafatwa jua tayari wanakujua nidhamu yako toka shule ya msingi na ukoo wako wote unajulikana.
Very constructive ushauriTafuta Hela Mkuu acha kuwaza mambo yatakayokufanya uwe mtumwa kwa maisha yako yote mimi bado sijaona Sababu zozote za kutamani izo kazi, Fanya biashara uwe na financial freedom
Nimekufuata PM Hujanijibu kumpeleleza demu wako ni kitendo Cha Dak 100 tuuTatizo ilikuwa unaenda kwa misifa na shughuli zako ulikuwa unazifanya ili uonekane na sio kutumia akili na maarifa ya Hali ya juu na kuwa na hisia ya sita,
Njoo nikupe kazi ukanipelelezee mwanamke mmoja nataka nimuoe ukiweza hapo tayari umeula[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
wa stendi
Mzee wa usalama, ukihitaji hiyo kazi anakupa na suti anakushoneaMDO NANI HUYO???
Ndo ilivyosemekana hujasoma hapo juukosa kubwa ulilofanya ni kujihusisha na siasa wala usiangaike kumtafuta mchawi