Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Kwenye shule sijagusia Ila nimesoma shule Bora kabisa




Kwa Zitto VP Tindikali aliyomiminiwa VP




Mrema unajua elimu yake Hadi ualimu?
Maana anasema alikuwa mwalimu then TISS wilaya then TISS mikoa mbali mbali then Ministry of Home Affairs
Mwaka 2006 Tabora boys walikuja kufanya usahili kwa wanafunzi wa kodato cha sita, wengi waliopata nafasi ya kuendelea na usahili wa ziada walikua wanasoma HGL. Ile ni kazi ya umbea, na uchambuzi wa lugha hivyo inahitaji wataalamu wa lugha.
 
TISS wakitaka kuziba nafasi za kazi wao wenyewe ndiyo humfuata candidate wanayemuona anafaa baada ya kumfanyia scrutiny ya kutosha na kujiridhisha.

Kiuhalisia wewe huwezi kwenda TISS kuomba kazi, bali wao wakikuhitaji watakuja kwako.
 
Mwaka 2006 Tabora boys walikuja kufanya usahili kwa wanafunzi wa kodato cha sita, wengi waliopata nafasi ya kuendelea na usahili wa ziada walikua wanasoma HGL. Ile ni kazi ya umbea, na uchambuzi wa lugha hivyo inahitaji wataalamu wa lugha.
Uongo fani zote zipo mfano Osama bin Laden walimdaka madaktari kupitia clinic za watoto wake walipoenda hospital chanjo ya watoto wakacheck DNA kwenye damu wakagundua yafanana na Osama wakawapa taarifa intelligence ikawafuatilia nyumba walikotokea wakagundua sio ya kawaida behavior yake na walipofuatilia zaidi wakakiona kibabu Osama yuko ndani wakamshukia kama mwewe kuua

Usalama wa nchi ni wa kila mwananchi na kila mzalendo

Fani zote ziko usalama wa Taifa hakuna hata moja isiyokuwepo
 
Yaani ww tayari ni Jasusi sema tu unataka kulipwa ila kwa ypte ulofanya kama kweli basi we tayari ni Jasusi huhitaji hata kwenda TISS.Endelea unaweza jikuta SPYMASTER siku moja.
 
WADAU SIKUHIZI WAPO HADI GOOGLE MAP NILIWAONA NIMEUA KUFUKUA

Screenshot_20210913-121801.jpg





Da

Screenshot_20210913-121601.jpg






Aisee

Screenshot_20210913-121704.jpg





Balaaaaa

Screenshot_20210913-121718.jpg





Screenshot_20210913-121741.jpg





Naona wame copy na Technology
 
hawa jamaa kwakweli mambo yao hayaeleweki na ya siri sana .. mfano pale stesheni kuna ofisi yao ila hata siku moja sijawai kuona mtu anaingia wala kutoka sasa sjui huwa wanapitia wapi
Ndo hii niliyoweka kwa picha Ulijuaje. Office ni Yao


Naona ipo kwa google map namshukuru kwa kuenda na Technology
 
hawa jamaa kwakweli mambo yao hayaeleweki na ya siri sana .. mfano pale stesheni kuna ofisi yao ila hata siku moja sijawai kuona mtu anaingia wala kutoka sasa sjui huwa wanapitia wapi
Usiku VP naweza peleka academic credentials for the recruitment au?


Wadau njooni mtoe msaada
 
Mwaka 2006 Tabora boys walikuja kufanya usahili kwa wanafunzi wa kodato cha sita, wengi waliopata nafasi ya kuendelea na usahili wa ziada walikua wanasoma HGL. Ile ni kazi ya umbea, na uchambuzi wa lugha hivyo inahitaji wataalamu wa lugha.
NDO MAANA Huwa na sema kipindi Cha Kikwete mambo mteremko


VP unaweza ni hadithia kwa undani kidogo???


Kama walikuwa wangapi walivyaaje waliongeaje na wanafunzi


Maana ukisikia story za watu unaweza fikiri TEETH[emoji1787] Tanzania hawazidi 10,000 kitu ambacho hakina uthibitisho



Kinacho niuma mtu wangu wa karibu mstaagu now alikuwa mlinzi wa Nyerere akaja kw DSO Mkoa flan na anapenda sifa ilaambo ya recruiting hawezi sema ana chekacheka tuuuuu
Ananiuzigi bas tuuuuu
 
TISS wakitaka kuziba nafasi za kazi wao wenyewe ndiyo humfuata candidate wanayemuona anafaa baada ya kumfanyia scrutiny ya kutosha na kujiridhisha.

Kiuhalisia wewe huwezi kwenda TISS kuomba kazi, bali wao wakikuhitaji watakuja kwako.
WA TZ MILLION 60

unataka kusema wao Kaz nikuziba nafasi ya marehemu na wastaafu na wateule kwamba wao hawana utaratibu wakuongezeka Ili kukidhi MAHITAJI ya dunia
 
Uongo fani zote zipo mfano Osama bin Laden walimdaka madaktari kupitia clinic za watoto wake walipoenda hospital chanjo ya watoto wakacheck DNA kwenye damu wakagundua yafanana na Osama wakawapa taarifa intelligence ikawafuatilia nyumba walikotokea wakagundua sio ya kawaida behavior yake na walipofuatilia zaidi wakakiona kibabu Osama yuko ndani wakamshukia kama mwewe kuua

Usalama wa nchi ni wa kila mwananchi na kila mzalendo

Fani zote ziko usalama wa Taifa hakuna hata moja isiyokuwepo
Osama na story za us achana nazo Osama alikuwa CIA asset na amewasiliana nao sana hata ISI


NIKAMA MULLAR wa AFGHANISTAN WA TALIBAN



ISI na USA wamemtunza sana hasa akiwa mgonjwa nikweli kunafani kadhaaas
 
Aisee hii kitu sijajua ni kwa nini huwa inanisumbua sana..kama ulivyotaja St Peters hapo kuna siku hii sauti niliwahi kuisikia ndotoni then nikaupuuzia sijui ni kwa nini..kumbe kuna mambo mengine huwa yanatokea hatujui kiroho

Alafu hii Kazi nilikuwa naipenda balaa tangu utotoni...hivi Mkuu hiyo St Peters ipo wapi? Yaani maeneo gani[emoji1787]
OSTERBAY MR


MM Nilikuwa na kipawa wa kuona future nikikutana
Na vyitu vyingi naona kabisa nilipaona kwa maono japo yamepungua
Mshana Jr MziziMkavu
Msaada WENU Huwa inasababiswa nann


M
Nikiwa form 4 niliona ma mp na jinsi tulivyokuwa tumekaa JKT tukipewa mafu zo ya First aid na Silaha na ikatokea hivyo hivyo kabisa hiyo ni moja kati ya 1000



Japo imezingua sasa baada ya kuwa jobless na mtu wa mahangaiko ya hapa na pale
 
Yaani ww tayari ni Jasusi sema tu unataka kulipwa ila kwa ypte ulofanya kama kweli basi we tayari ni Jasusi huhitaji hata kwenda TISS.Endelea unaweza jikuta SPYMASTER siku moja.
HAHAHAHA
 
[emoji1787][emoji1787]..unataka conection?..badala ya kuhussle?
Hustle Mr





Connection zipo mkuuu mwenyewe najutia KWANN sijaweka ukaribu na watoto wakubwa wao wanashirikishwa mengi mno
 
Yaani ww tayari ni Jasusi sema tu unataka kulipwa ila kwa ypte ulofanya kama kweli basi we tayari ni Jasusi huhitaji hata kwenda TISS.Endelea unaweza jikuta SPYMASTER siku moja.
NAMWOMBA TUU MUNGU KWA SASA
 
Back
Top Bottom