Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Huna kifua ndio maana huwezikuwa mdomo unaponza vingi
TISS Nilikutana nao kama kigezo ni midomo nisingejua ni tiss

Nilishasikia Walivyokuwaga wanachukua watu JKT mavazi tuu unajua Hawa n TS
 
Watanzania tuna wa overate sana na kuwakuza sana

Late jpm alisema mtu aliwa anajua kukaa mguu pande na sawa means normall common sense tuu anaweza kusailiwa chombo chochote cha ulinzi na usalama

Sasa hii ya kudanganya watu et ts wanaangalia ukimya wa watu tz kuna wanafunzi ma laki

Kuna wananchi zaidi ya million 60 tutasema kuna watu wanaangalia kila mmoja ili wawaingize ts ni uwongo

Kuna waliopitia jkt na wakapata nafasi ya kuwa mafunzoni na watoto wa wakubwa waliowaambia wanaokuja kesho ni ts wanaofanya usaili

Na kweli kesho wake wakawasili na gear wanataka wafanyakazi wa kusimamia na kufanya kazi beach

Mara wafagia maofisi ya ma dc na ma rc

Tukubali kuna watu qamefanikiwa kujiunga huko kutokana na

1.Bahati

2. Watoto wa wakuu vyombo vyingine vya usalama na ulinzi

3. Watoto wa wanasiasa

Hao ndo wamejaa huko mambo ya sijui wanapita chuo mara jkt mara nn

Ilikuwa ni bahati tuu ya kipindi cha kikwete
 
Emb elezea zaidi unamaanisha mm nasaka kuwa Informer au?

Mm sitaki u Informer

Ningependa full Job
 
Tafuta Hela Mkuu acha kuwaza mambo yatakayokufanya uwe mtumwa kwa maisha yako yote mimi bado sijaona Sababu zozote za kutamani izo kazi, Fanya biashara uwe na financial freedom
Very constructive ushauri
 
Nimekufuata PM Hujanijibu kumpeleleza demu wako ni kitendo Cha Dak 100 tuu
 
Kwa kukosa kazi tuuu uko ukuu unapiga kelele.... Je ungepata si-ungeeweka matangazo itv na tbc kuwa umepata kazi... Hap hap ulipo haufai hata kuwa house girl...
Da asante
 
Imekuuma kugawa tako sasa Hui utiss utauweza kweli maana ukitekwa kule North Korea adhabu ya kwanza ni kupakuliwa huko nyuma
Hahahaha kisiwaga acha bana acha nipate kazi hahahaha

Ila wa Korea Wana vibamia na hawana ukimwi
 
kosa kubwa ulilofanya ni kujihusisha na siasa wala usiangaike kumtafuta mchawi
Ndo ilivyosemekana hujasoma hapo juu

Ilisemekana sana hata hapa jf ooh kila UVCCM Mchongo wa USALAMA n Rais

Napicha za UVCCM na baada walivyokuwa usalama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…