Mie nakuuliza kabla sijatoka home...utanipa nauli.Kwani kukutana lazima apate hela yeye Hana ? Au hapo amefikaje? Acheni kutuonea asee kuwa kila tukikutana lazma upewe posho kwenye hicho kikao
ungemla tuuKuna vingine haviliki kirahisi. Umeagiza BURGER ya kuku unaletewa VEGGE sandwich, utaanzaje kula?
Asa mbona ulimkimbia?Halafu sijasema natafuta wanawake warembo,ni kwamba hili ni tukio ambalo limetokea tu nikakuta ndivyo sivyo!Isionekana its my mission kutafuta wanawake wazuri,hell no!U got it all wrong!
Mhusika sio mimi. Mie nachangia mada tu. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ungemla tuu
Yaani jukwaa la hovyo siku zote.
Afu wanajiita wana busara.
Wangekuwa na busara wangekuja kuanika mwisho wao wa kufikiri hapa?
Unajisifu kabisa eti nenda kaone mada nilizoanzisha Jukwaa la siasa.
Mie nilijua jukwaa la dini
HahahaahhaHuyo tulishachat kwa muda kabla ya kukutana so there was a process!
Sio tulipoishia.Aisee,kuna wengine wanaona wenzao wamefika mwisho wa kufikiri,kumbe wao ndio walipoishia!
Usimhukumu saana huyu ndugu aseeUjue huyu ana tatizo anaweza kuhesabu had nyama wanaume wa hivi si wazuri kabisa hafu ana njaa Kali, so shame
Ambiance hakujqfungwa sasa wewe una mtext bila dhumuni ipo siku itawatokea puaniSijasema nilikuwa natafuta,nilikutana na picha zake tu bahati mbaya nikamDM!
Ambiance si palishafungwa au??
Wewe umesema ulichat nae kwa muda.Well sikupenda kuwa trapped!Thats what she did!
Eti Reserved tank[emoji15] [emoji15] [emoji15]yeah mi nawaitaga reserved TANK nikibanwa sanaaaaa ile sanaaaa iwe kipesa,kimapenzi,ki kila kitu hua natumiaga Reserved tank...mana unaeza pata tatzo halaf ukajikuta uko peke ako ila Hawa ktk huo upande wa kuhakikisha hupat shda wako Vizuri ndio mana Sikosi reserved Tank hata m.1 tu sio mbaya.
Ninachoshindwa kuwaelewa vijana, kwa nini umkimbie mtu? Kisa sura? umbo? rangi? Nini hasa kinachokufanya umkimbie mtu.Wengi hawaelewi kuwa u rafiki ni zaidi ya sura, hafu wakikutana na kulalana mahusiano hayadumu kabisa
Basi muumbe mwenyewe.Hilo liko wazi,kazi tunayo!Ila wengine hatuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia!
Upuuzi mwingi umejaa kule wanaume wazima kubishana vtu vya kijinga, hafu wanakuja na I'd tofauti kutaka number then baadae watangaze flani yuko hivi na hiviYaani jukwaa la hovyo siku zote.
Afu wanajiita wana busara.
Wangekuwa na busara wangekuja kuanika mwisho wao wa kufikiri hapa?
Unajisifu kabisa eti nenda kaone mada nilizoanzisha Jukwaa la siasa.
Mie nilijua jukwaa la dini
ha ha ha haaaaaaaaaaNdio maana hatutaki vitoto kama huyu mtoa mada.
Sie semi-trela tunavutwa na wazito
Ahh inategemea Hadi mnakubaliana kukutana mlikuwa katika Hali zipi na motives zenu zilikwaje, mambo ya posho kila mkutanapo ni changamoto piaMie nakuuliza kabla sijatoka home...utanipa nauli.
Kama hutaki kunipa nakaa kwetu.
Kwanilazima?
Kamsumbua Dada wa watu hafu kaja kumnanga huku eti mubaya yeye mzuri, gentleman huwa hafanyi huo ujinga aiseeUsimhukumu saana huyu ndugu asee
Na hiyo ndio tabia yao.Upuuzi mwingi umejaa kule wanaume wazima kubishana vtu vya kijinga, hafu wanakuja na I'd tofauti kutaka number then baadae watangaze flani yuko hivi na hivi