Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndo ulalamikie kulipa 11k. Hapo hata Heineken hazishuki vizuriShida ni kuwa nilikuta kitu tofauti na nilivyoona kwa photshop!
yeah mi nawaitaga reserved TANK nikibanwa sanaaaaa ile sanaaaa iwe kipesa,kimapenzi,ki kila kitu hua natumiaga Reserved tank...mana unaeza pata tatzo halaf ukajikuta uko peke ako ila Hawa ktk huo upande wa kuhakikisha hupat shda wako Vizuri ndio mana Sikosi reserved Tank hata m.1 tu sio mbaya.Ila muache kutubagua.
Hatuna sura
Hatuna kalio
Tuna miili ya Iddi Amin
Ila tuna mapenzi ya kweli.
Mtupende tu
SanaaaaHalafu mnakuwaga na juhudi kwenye mtanange!!!!!!
Wengine huwa hawapokei wanasema huwa hawapendi video call😛😛😛Jaribu kumvideo call whatsapp upime kwanza
Muonekano sio tatizo kwangu. Heshima yako tu ndo nitajua nikupotezee au laPanga tu appointment namimi uone utavyoniblock a day umeniona yani..peter msechu akasome
Tuko tank ila kwa shida, utabaki mwenyewe.yeah mi nawaitaga reserved TANK nikibanwa sanaaaaa ile sanaaaa iwe kipesa,kimapenzi,ki kila kitu hua natumiaga Reserved tank...mana unaeza pata tatzo halaf ukajikuta uko peke ako ila Hawa ktk huo upande wa kuhakikisha hupat shda wako Vizuri ndio mana Sikosi reserved Tank hata m.1 tu sio mbaya.
Basi sijabahatika kuwaonaWe wapo.
Mie mnene ane mnene.
Basi balaa.
Sema kipindi hiko kilikuwa cha mpito.
Kwano wembamba hawanaga vikwapa?Hahahaaaa,shida mibonge "vikwapa tabu"
Huyo mtoa mada ni Peter Msechu typicalBasi sijabahatika kuwaona
Mi akishasema hivyo hata appointment nasogeza mbeleeeeeee sitaki kuja kupata mgonjwa ya moyo.😀😀😀Ujue kuna jambo
Buku 2 nakaa Magomeni?Hahahahaaaaaa,nauli si buku 2 tu!
majani yanasimama ila ANazaa..wanaume ndo nan kwenye hivi viumbe vya ajabuKweliiii ni aibu yaani ni mambulula tu.
Hatukomoi wengine tuna makoo msrefuHahahaaaa na mnavyojuaga kukomoa sasa!
majani yanasimama ila ANazaa..wanaume ndo nan kwenye hivi viumbe vya ajabuKweliiii ni aibu yaani ni mambulula tu.