witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mwanaume mzima unashindanaje na mwanamke jamani
Vyumaa maamaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume mzima unashindanaje na mwanamke jamani
Eti sisi wabaya...Kila mtu picha ili iweje sasa aaargh
Kabisa.Mimi ujanja wangu kwa mwanaume ambaye simjui tukipanga tuonane nakuwaga simple tu.
Ila pamba nizakweli.
Nawengi ninao kutana nao ni mahandsome kama alikiba hivi au star wa movie marekani napewa mlo hadi na saza.
Naenjoy huwa sanaaa.
Kweli nasema
Ni kweliKabisa.
Jf kuna wakaka smart, wazuri, wanapesa na sio wabahili.
Hivi vitoto vya chuo kupakazana shombo tu
nyama laini ni ipi?Nani ache kukaa na nyama laini hivi
KabisaKama mademu wa Insta
hatuweziiiKwani hamuwezagi kujivua wenyewe
Eeeh kuna watu wastarabu humu huwezi hata amini but matured one, workaholic, hao hawana shida!Kabisa.
Jf kuna wakaka smart, wazuri, wanapesa na sio wabahili.
Hivi vitoto vya chuo kupakazana shombo tu
Yaani acha tu.Eeeh kuna watu wastarabu humu huwezi hata amini but matured one, workaholic, hao hawana shida!
Kutana na jobless, stress za stone utajuuuta mdada[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dah hahahahahaNgoja nianze mazoezi maana isije fika Jf Party bado niko na tumbo langu zikaja kumiminika thread hapa
"Ohhhh Madame kuponda wanaume wakati ana sura kama upande wa chupi"...akha!!!
Sasa Alikiba ni handsome?Mimi ujanja wangu kwa mwanaume ambaye simjui tukipanga tuonane nakuwaga simple tu.
Ila pamba nizakweli.
Nawengi ninao kutana nao ni mahandsome kama alikiba hivi au star wa movie marekani napewa mlo hadi na saza.
Naenjoy huwa sanaaa.
Kweli nasema
Ali kiba ni mwanaumeSasa Alikiba ni handsome?
Hujakutana na ma HB wewe
Anyway kila mmoja na taste yakeAli kiba ni mwanaume
Mkuu nimecheka sana na hii thread yako,ila pole kwa mana huo ulokukuta wew ni mtihani.Hapa nilipo nimeudhika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!
Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!
Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!
Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!
Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!
Wadada punguzeni filters!
Eti huyu ni Linah,jaman!!!
Hahaaaaaa,basi utakuwa katoto kazuri haswaaa!Mimi ujanja wangu kwa mwanaume ambaye simjui tukipanga tuonane nakuwaga simple tu.
Ila pamba nizakweli.
Nawengi ninao kutana nao ni mahandsome kama alikiba hivi au star wa movie marekani napewa mlo hadi na saza.
Naenjoy huwa sanaaa.
Kweli nasema