lusanasaimon
Senior Member
- Jan 19, 2023
- 108
- 264
- Thread starter
- #21
jambo gani 1;0 ?Duhhhh....
Pole sana mkuu. Lakini sikupi polekwa issue ya kuchelewa kupata mtoto, bali nakupa pole kwa jambo lingine tu. (Wakubwa wamenielewa)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jambo gani 1;0 ?Duhhhh....
Pole sana mkuu. Lakini sikupi polekwa issue ya kuchelewa kupata mtoto, bali nakupa pole kwa jambo lingine tu. (Wakubwa wamenielewa)
asanteBora akatafute za kununua
chepuka wewe wacha ubishi wa kijinga ,unasaidiwa unaleta argument za kijingasasa mbona nimekwisha pima mbegu nimeambiwa niko sawa ?
Usipimee Mbeguu.. KAPIGE NJE!sasa mbona nimekwisha pima mbegu nimeambiwa niko sawa ?
Muache aendelee kupigaa mboyoyoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]chepuka wewe wacha ubishi wa kijinga ,unasaidiwa unaleta argument za kijinga
huyu kijana nimemshanga sana anasaidiwa mawazo ya msingi kabisa analeta janjajanjaUsipimee Mbeguu.. KAPIGE NJE!
Wew ndo unampotezaa Kumpa mwanamke uja uzito sio tu suala la mbegu zako kuwa sawa au yeye kuwa na uwezo wa kubebe.. Jamaa akapigeee njee akiweza kutungishaaa arudi kwa mkewee wakomae kumtibiaaa.. Akishindwaa kutia mimba njee atuliee Ajitibieee.. Otherwise watazunguka bila kuwa na uhakika nani mwenye shida na sometimes wote hawana shida ila Damu zao tu haziendani.Usidanganye watu wewe kwenye issue muhimu!
mke wangu walimpima kwanzia. kizazi na homonPole sana.
Kwanza, ondoa hofu. Ni jambo la kawaida. Hupaswi kulikatia tamaa. Bado una nafasi kubwa ya kupata watoto.
Pili,Kwa kuwa umesema mmeshaenda hospitali, naomba kufahamu ni vipimo gani mlichukua huko hospital?
Karibu.
Yani wee jamaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila Bora wangekuwa wamepata hata kamoja aiseew.. Hatari sana inaumaa mnooHapo tafuta kadem kadogo kadogo nje ili utest mitambo.
Kikipata mimba usishangilie subiri mtoto azaliwe na ukampime vinasaba.
Akiwa wako ujue mkeo ndio mwenye matatizo.
Hivyo timua single mother huyo halafu weka kadem Chako.
😂😂😂😂Hapo tafuta kadem kadogo kadogo nje ili utest mitambo.
Kikipata mimba usishangilie subiri mtoto azaliwe na ukampime vinasaba.
Akiwa wako ujue mkeo ndio mwenye matatizo.
Hivyo timua single mother huyo halafu weka kadem Chako.
Pole sana mkuuaiseeh acha nivute subira japo inahuzunisha
oooh kumbe mpaka damu ziendane?Wew ndo unampotezaa Kumpa mwanamke uja uzito sio tu suala la mbegu zako kuwa sawa au yeye kuwa na uwezo wa kubebe.. Jamaa akapigeee njee akiweza kutungishaaa arudi kwa mkewee wakomae kumtibiaaa.. Akishindwaa kutia mimba njee atuliee Ajitibieee.. Otherwise watazunguka bila kuwa na uhakika nani mwenye shida na sometimes wote hawana shida ila Damu zao tu haziendani.
Naweza kukusaidia Ila ujipange vizurihabari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya
mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo
lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.
kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Hapo hapo..... UmemalizaNa wewe ujifunze kufanya timing kulingana na mizunguko yake siyo unakimbilia kujaribu kila siku
yani hata akienda kwenye kikao cha wazee akiwaeleza huo ushuzi wa kupima mbegu hospitalini wata mwona yeye ndio anashida sasa anachofanya ni kujificha kwenye jopo la madaktariMuache aendelee kupigaa mboyoyoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeelewa [emoji23][emoji23][emoji23]Duhhhh....
Pole sana mkuu. Lakini sikupi polekwa issue ya kuchelewa kupata mtoto, bali nakupa pole kwa jambo lingine tu. (Wakubwa wamenielewa)