Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Tumieni asali mbichi ILI kuongeza sperm count asubuhi na jioni!!

Stress s zinakupunguzia nguvu za kurusha goli KWA kasi ya 4G SASA Tumia asali KILA asubuhi koroga kwenye maji moto kunywa kama chai na jioni baada ya kula dina kunywa tena!ILI sperm ziongezeke na nguvu pia!!

ACHA stress miaka mitatu michache sana mbona!!?

HONGERA KWA KUOA SINGLE MOTHER HALAFU WEWE HUNA MTOTO,WEWE NDIO MWANAMME MWENYE MOYO MPANA WA KUIGWA!!
 
habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
nmekaa kwenye ndoa miaka 4 bila mtoto mke wngu akawa kama chizi vile,mara ale bamia mbichi,mara karoti ukimwambia tu dawa flani inafaa fasta sana kishaenda nunua anatumia.

mie ndo nlikuwa sina stress kabisa maana mpaka akawa ananishangaa na nilijitune hvyo sababu nlijua na mimi nikijitia tu stress na akajua basi ningeletewa hata watoto wa nje nashkuru mung nilipata mtoto wa kike,then kiume swaafi kabisa.

ila mkijipa tu stress ujue unaenda kuvunja ndoa yako au kukosa kabisa mtoto,maana wanawake wakishona hvyo anaweza kutoka nje ili abebe mimba ili apate tu kulinda ndoa yake
 
Wanaotaka apige mechi za away wampe na namba za dada zao ambao hawajaolewa ili awafanye single mother wazalie nyumbani otherwise mnashauri bila kuangalia madhara kwa yule atakayembebesha mimba kwa majaribio.
 
Tatizo la hapa home Africa especially Tanzania kila mtu anataka kuwa mume au mke wa mwanandoa ndugu yake.

Utakuta dada anatamani awe ndiye mke aonyeshe kwa WiFi yake namna ya kutimiza jukumu la ndoa huku mama mzazi wa mume nae anatamani aikamate hiyo nafasi hapo bado aunties cousins wake za wajomba mpaka mama wadogo kiasi hupelekea walengwa kama hivi kupagawa na hii inasababisha zipo familia zinalea watoto wasiokuwa wao sababu mwanamke aliona kelele zimezidi akajiongeza siku ikijulikana mume anauwa mke anaenda jela maisha ya watu yanapotea, 27 yrz una hofu ya mtoto mimi nina ndugu toka 2004 nyumbani kwake hakuna kilio cha mtoto na wanaishi normal tu.
 
Na kwanini mara zote ushauri kwa watu dizain hii hushauriwa kwenda kuzini nje.

Mungu ameshawapa baadhi ya watu ufahamu wa kutengeneza vifaa vya kuonyesha kama mtu ana tatizo au hana na wataalamu wa kupima wapo why always solution iwe ni kwenda kuzini tu?
 
habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Yaani miaka 3 unakuja kuleta uzi wa kukata tamaa? Wenzako walikaa 17 yrs wamepata this yr twins ..bado sana ..wala msiwe na papara ..mtapata tu
 
habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Hapa kichwa kinaniuma kwa mawazo, juzi mchepuko umeniambia una mimba na Leo nimetoka kazini wife anae imooo!
 
Kuna ndugu zangu walikaa uchumba miaka 6..ndoa miaka 3 kimyaaa hamna kitu wakagombanaaa yule demu haikupita hata mudaa demu kabebeshwa kituu tena mapachaa[emoji22]
 
Wanaotaka apige mechi za away wampe na namba za dada zao ambao hawajaolewa ili awafanye single mother wazalie nyumbani otherwise mnashauri bila kuangalia madhara kwa yule atakayembebesha mimba kwa majaribio.
miaka mitatu kuwa na mke ndani bila ya mtoto unafikiri ni kitu kizuri,achepuke na itakapo nasa hapohapo aweke bikoni
 
Kaka ebu jaribu Kwa hii midoli ya Elon Musk huenda baraka zako zimo mule
 
habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Miaka 27 Bado sana hata 35 Bado sana...

Kwenye harakati zako za ujana umewai kupigisha mimba mdada yeyote tuanzie hapo???

Pili LISHE zenu zikoje unatakiwa muangalie mlo wenu tumia wewe na mkeo karanga mbichi, mayai ya kuchemsha na Tende Kila asbuh na jioni.....

Juzi nilikua napiga story na co_friend wangu yaan kanambia alikamia kupata mtoto yeye na mkewe Kwa miezi sita Hola 🤓🤓🤓🤓

Ila mimba Kwa house maid ni faster tu ukigusa imo😊😊😊

Ushaur wangu relax fanyeni check up, kuleni vizuri bila kusahau Dua Kwa mwenyez MUNGU
 
eti eeh kwa sababu hata kabla sijakutana na huyu mwanamke. mimi nimekua nimtu nisiebadili wanawake (madem)
na nimekua nikitumia kinga
Acha uzembe. Katombe nje huko tafuta demu mzuri piga mashine uone kama hajapata ujauzito akishika then zungumza vizuri na mkeo kuhusu kulea watoto wa kambo. Mbona yeye wa kwake umepokea.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
habari za wakati huu,
wakuu naomba angalau msaada wamawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya

mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye anamtoto alie mpata akiwa secondary. tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumesha tumia dawa mbali mbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo

lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alisha wahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani. na alikua ana sumbuliwaga na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumesha tafuta miti shamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu. naomba kama kuna watu wamesha pitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo
Miaka 3 tu, kiduchu hivyo...

Kuna mtu alioa mwaka 1996 akaja kupata mtoto wa kwanza mwaka 2009.

Since then, anafyatua tu hadi sasa...

Kuwa mvumilivu...
 
Yaani miaka 3 unakuja kuleta uzi wa kukata tamaa? Wenzako walikaa 17 yrs wamepata this yr twins ..bado sana ..wala msiwe na papara ..mtapata tu
usimdanganye kabisa nashauri afanye mamuzi ya ghafla na njia pekee ni kuchepuka ili kutesti mtambo upo sawa au vipi kumbuka alioa mechi ikiwa 1:0 sasa ni wakati wake kusawazisha game
 
Back
Top Bottom