Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

Wanaotaka apige mechi za away wampe na namba za dada zao ambao hawajaolewa ili awafanye single mother wazalie nyumbani otherwise mnashauri bila kuangalia madhara kwa yule atakayembebesha mimba kwa majaribio.
Dunia ni ubinafsi
Dunia ni wewe
Kwa hiyo unataka mpaka afikishe 40 plus bado bila bila

By the way single mom ni wengi hata kama yeye akijitunza dada zake, wapwa zake au hata watoto wake mmoja atakuwa single mom.

Hakuna kipya
 
Habari za wakati huu,

Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.

Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.

Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.

Bado mna chance kubwa sana tu za kupata mtoto, Mungu awajalie
 
Dunia ni ubinafsi
Dunia ni wewe
Kwa hiyo unataka mpaka afikishe 40 plus bado bila bila

By the way single mom ni wengi hata kama yeye akijitunza dada zake, wapwa zake au hata watoto wake mmoja atakuwa single mom.

Hakuna kipya
mwenyewe nimeshangaa sana watu hawajali muda kabisa.
shida yao dogo azidi kuonekana anisi
 
Relax mkuu wewe na mkeo. Mpeni Mungu nafasi yake kila siku huku mkiyakataa mambo ya kurithi mfano mizimu na mambo mengine.

Jifunzeni na muielewe vizuri elimu ya uzazi. Mzitambue siku za hatari hasa mkeo anapaswa kulitambua hili. Siku ya hatari akiona uteute mwambie akupe taarifa na kisha tuliza mpira chini. Weka goli la dk 84 kama lile la US Alger 🤣🤣(utani tu)

Epuka sana kuchepuka mkuu. Tuliza akili
 
Habari za wakati huu,

Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.

Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.

Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.
Jaribu kwenda kwa Mwamposa au Kwa Kuhani Musa kimara Temboni
 
Tatizo linaweza kuwa uzazi wa mpango, wapo wanaoathirika na hilo tatizo; umri ungekuwa umeenda sana, ningekushauri mkeo achekiwe uvimbe kwenye kizazi, ila kwa sasa unatakiwa uvute subra.
 
Relax mkuu wewe na mkeo. Mpeni Mungu nafasi yake kila siku huku mkiyakataa mambo ya kurithi mfano mizimu na mambo mengine.

Jifunzeni na muielewe vizuri elimu ya uzazi. Mzitambue siku za hatari hasa mkeo anapaswa kulitambua hili. Siku ya hatari akiona uteute mwambie akupe taarifa na kisha tuliza mpira chini. Weka goli la dk 84 kama lile la US Alger 🤣🤣(utani tu)

Epuka sana kuchepuka mkuu. Tuliza akili
acheni kumdanganya huyu kijana
 
mwenyewe nimeshangaa sana watu hawajali muda kabisa.
shida yao dogo azidi kuonekana anisi
Sisi Kuna jamaa yetu mtu wa utani na masikhara sana tulivyopata kazi tu, yeye akaoa haraka na michango tukatoa.

Tukakutana baada ya miaka 5 kwa ajili ya mazoezi maalumu jamaa alikuwa anamtania kila mtu kiasi siku akiamka na wewe utakoma.

Sasa tulivyogundua hajapata mtoto alikoma kila nyimbo aliimbwa yeye.

Tusichokijua haya mambo yanaumiza moyo sana, siku tumekaa chini ya mti tunaona jamaa analia peke yake,

Kwenda kumuuliza tatizo nini ndio
akaanza kufunguka jinsi tunavyomtesa hivyo tukaupiga marufuku huo utani kwake.

Tukaendelea na utani mwingine ila mwamba hapo anaanza kujidauti mwenyewe na kuto jiamini kitu ambacho sio kizuri.

Hivyo alipue nje kwanza
Pili atakuwa amesawazisha matokeo yatakuwa 1:1
 
Jitahid kubadilisha mazingira wewe na mwenza wako, angalau mnatoka nje ya makazi yenu yaan msifanye mambo yenu kimazoea,punguza mawazo yakufikiria mtoto Kila muda Hilo nalo ni tatizo kwakuwa kuhondomola kunahitaji utulivu wa nafsi na akili;; mwisho hakuna kukata tamaa Kila kitu kinakuja Kwa muda muafaka ukizingatia bado ni bwana mdogo sana tiba zipo haswaa hususan huku mkoani kwetu yawezekana na kwingineko ni swala la kuhangaika.
 
leo kuna mahali nimesoma juu ya hayo makitu nimecheka sana eti yanachajiwa siku tatu apo ni kama yako hedhi ndani ya mwezi, mzungu ni mshenzi sana
Kuna namna yapo overrated! Hayupo kama tunavoyapigia debe, lkn endapo itaenda kama tunavofikiria Aisee itakua mbadala wa nyetoz
 
Habari za wakati huu,

Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.

Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.

Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.

Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.
Nenda kwa Mwamposa kawe tatizo lako litaisha
 
Sisi Kuna jamaa yetu mtu wa utani na masikhara sana tulivyopata kazi tu, yeye akaoa haraka na michango tukatoa.

Tukakutana baada ya miaka 5 kwa ajili ya mazoezi maalumu jamaa alikuwa anamtania kila mtu kiasi siku akiamka na wewe utakoma.

Sasa tulivyogundua hajapata mtoto alikoma kila nyimbo aliimbwa yeye.

Tusichokijua haya mambo yanaumiza moyo sana, siku tumekaa chini ya mti tunaona jamaa analia peke yake,

Kwenda kumuuliza tatizo nini ndio
akaanza kufunguka jinsi tunavyomtesa hivyo tukaupiga marufuku huo utani kwake.

Tukaendelea na utani mwingine ila mwamba hapo anaanza kujidauti mwenyewe na kuto jiamini kitu ambacho sio kizuri.

Hivyo alipue nje kwanza
Pili atakuwa amesawazisha matokeo yatakuwa 1:1
mimi nimejaribu kuangalia hata mwandiko wa huyu kijana inaonekana hata mwanamke alioko nae tayari kashanza kumdharau hali inayompelekea kutokujiamini.nafikiri mwanamke alishawahi kumuita anisi au kitu kama icho pengine
 
Back
Top Bottom