Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

Hapo tafuta kadem kadogo kadogo nje ili utest mitambo.

Kikipata mimba usishangilie subiri mtoto azaliwe na ukampime vinasaba.

Akiwa wako ujue mkeo ndio mwenye matatizo.

Hivyo timua single mother huyo halafu weka kadem Chako.
 
Usidanganye watu wewe kwenye issue muhimu!
Wew ndo unampotezaa Kumpa mwanamke uja uzito sio tu suala la mbegu zako kuwa sawa au yeye kuwa na uwezo wa kubebe.. Jamaa akapigeee njee akiweza kutungishaaa arudi kwa mkewee wakomae kumtibiaaa.. Akishindwaa kutia mimba njee atuliee Ajitibieee.. Otherwise watazunguka bila kuwa na uhakika nani mwenye shida na sometimes wote hawana shida ila Damu zao tu haziendani.
 
Pole sana.

Kwanza, ondoa hofu. Ni jambo la kawaida. Hupaswi kulikatia tamaa. Bado una nafasi kubwa ya kupata watoto.

Pili,Kwa kuwa umesema mmeshaenda hospitali, naomba kufahamu ni vipimo gani mlichukua huko hospital?

Karibu.
mke wangu walimpima kwanzia. kizazi na homon
mimi nika pimwa mbegu kama zinauwezo wa kutungisha mimba na wingi wa mbegu
 
Hapo tafuta kadem kadogo kadogo nje ili utest mitambo.

Kikipata mimba usishangilie subiri mtoto azaliwe na ukampime vinasaba.

Akiwa wako ujue mkeo ndio mwenye matatizo.

Hivyo timua single mother huyo halafu weka kadem Chako.
Yani wee jamaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila Bora wangekuwa wamepata hata kamoja aiseew.. Hatari sana inaumaa mnoo
 
Hapo tafuta kadem kadogo kadogo nje ili utest mitambo.

Kikipata mimba usishangilie subiri mtoto azaliwe na ukampime vinasaba.

Akiwa wako ujue mkeo ndio mwenye matatizo.

Hivyo timua single mother huyo halafu weka kadem Chako.
😂😂😂😂
 
oooh kumbe mpaka damu ziendane?
 
Naweza kukusaidia Ila ujipange vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…