Driver proffesional
JF-Expert Member
- Feb 18, 2022
- 372
- 1,042
mawazo ya kupigwa kibom yanaisha rasmiWe tulia kaka! Tumechoka mashangazi anakuzuga na vimaneno vya kinafki "taratibu bas baba naumia et" na wakati mbususu mileage inasoma parefu! Bora ije midoli unapiga bao tatu unaminya button ya kufinyia then unaoga zako unalala
Inawezekana umepima mbegu ziko sawa.....lakini ukawa na tatizo la low sperm count!...sasa mbona nimekwisha pima mbegu nimeambiwa niko sawa ?
Nimeshangaa sana, wengne tupo umri huo na wapenz hatuna na hatuwazi hata kidogo...Miaka 27 bado mdogo acha kujibebesha stress za bure.
Hubadili wanawake af unatumia kinga which is which mkuu???eti eeh kwa sababu hata kabla sijakutana na huyu mwanamke. mimi nimekua nimtu nisiebadili wanawake (madem)
na nimekua nikitumia kinga
Wataalamu wetu na vifaa Tiba usiviamini Majibu Yaosasa mbona nimekwisha pima mbegu nimeambiwa niko sawa ?
Habari za wakati huu,
Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.
Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.
Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.
Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.
wewe nikiranga kweliKwani kupata mtoto lazima?
Swali la msingi halijajibiwa.wewe nikiranga kweli
Ushaur wa five ⭐⭐⭐⭐⭐Hapo tafuta kadem kadogo kadogo nje ili utest mitambo.
Kikipata mimba usishangilie subiri mtoto azaliwe na ukampime vinasaba.
Akiwa wako ujue mkeo ndio mwenye matatizo.
Hivyo timua single mother huyo halafu weka kadem Chako.
Mkuu pole nitafute mimi kwa wakati wako nikupeni dawa ya kuweza kushika mimba mke wako.Habari za wakati huu,
Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.
Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.
Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.
Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.
Nakusalimia brother angu 🤚Mkuu pole nitafute mimi kwa wakati wako nikupeni dawa ya kuweza kushika mimba mke wako.
Damu hazijaoana.....Hiyo presha nadhani vijana wengi imetukumba kwenye huo umri. Mimi pia nilikuwa moto sana kupata mtoto kwenye hiyo age. Haikutokea. Matokeo yake nikaja kupata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 30.
Nakushauri pia ujaribu kubadilisha tundu. Pengine hupati mtoto na huyo uliyenae sababu damu hazijaoana.
Tafuta mwanamke mwingine jaribu uone maan unaweza panic kumbe tatizo ni mwanamkeHabari za wakati huu,
Wakuu naomba angalau msaada wa mawazo najua humu kuna wajuvi na watalaam mbali mbali kuhusu maswala ya afya.
Mimi ni kijana na nimetimiza miaka 27, nina mke lakini sijafanikiwa kupata mtoto na ni mwaka wa 3 toka nimekutana na mke wangu ingawa yeye ana mtoto aliyempata akiwa secondary. Tumesha kwenda hospital kupima tukakutwa wote hatuna tatizo lolote na tumeshatumia dawa mbalimbali lakini tumeshindwa kufanikisha lengo.
Lakini bila kusahau nimesha muuliza wife kama alishawahi kutumia uzazi wa mpango hapo kabla, akasema nikweli aliwahi kutumia p2 na hata sindano lakini ni muda umepita coz kunakipindi aliwahi kutokwa na kijinyama fulani, na alikua anasumbuliwa na tumbo na mzunguko wa hedhi usioeleweka japokua tumeshatafuta mitishamba sasa yuko good kuhusu maumivu na hedhi kukaa vizuri.
Kwakweli imefikia kipindi nawaza sana maana umri unayoyoma tuu, naomba kama kuna watu wameshapitia changamoto kama hizi wanisaidie japo mawazo.