Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

Jichanganye πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ss hivi yupo kkoo winga ila ana kiwanja chao cha urithi kipo kijichi, labda akupe ndo mkae mezani 😹
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹kijichi...
Lakini kijichi kweli isije kuwa mgeni nani maana mle ndio naona kumekaa nyumba za urithiurithi πŸ˜‚πŸ˜‚?
 
Mgeni nani 🀣🀣
Huyu haaaminiki utashangaa ni mbagala kuu 😹
🀣🀣🀣🀣eeeh mbagala kuu jamani hapana basi iwe hata Vikunai
 
Ulikula mavi
 
Kumbe,!mi nilipita kama naenda mikwambe kuna kituo cha politics mbele kidogo kuna njia ya vumbi ndio huko ndanindani nikajua ndio vikunai
Ile vikunai ambayo ina nyumba za mradi. Kuna vikunai ina nyumba za raia tu. Tumeokota sana koroshi kipind hiko. Zile ghorofa pale zimeificha vikunai ya kila mtu
 
Basi kama mtaa ndio ule wewe ni wangu wa kufa na kuzikana,napanga begi nguo nakuja muda huu huu
Narudi Unguja next week. Kuna Hotel naenda kupiga reception siku mtakayokuja Zanzibar mnakaribishwa sana
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…