Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
-
- #101
Unakunywa juisi ya parachichi huko ndani inanukia masalo ya nyanya. Hutoboi hata dakika 7 unaanza kukimbia na mwengeDogo aliwahi kunywa hiyo juice hajawahi kurudia tena mi nilikunywa ya parachichi sijarudia tangu 2022
Tenement hujambo? Umepotea sana Mzee mwenzanguPole
Dah pole Sana rafiki
Inauzwa kias gan hiyo?Kuna hadi supu ya kwato
Nipo Kaka ,sema siku mbili hizi nilikuwa mpakani huko niliipata mteja wa vidonge vya Arvs ikabidi nimpelekee Kaka nisije kufa njaa kwa watu hukuTenement hujambo? Umepotea sana Mzee mwenzangu
Ukiendelea kujilegeza hapo hospital utapigwa drip hata 5 .Hali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Wanaume lainilaini hao. Hao ndiyo wale wanalia mpaka wanazimiaWatu tunakula supu ya ngozi mbagara pilpil nyingi na miogo alafu fureshiiiiii tu......
Kivipi mkuuUkiendelea kujilegeza hapo hospital utapigwa drip hata 5 .
Nyolo nyolo sioWanaume lainilaini hao. Hao ndiyo wale wanalia mpaka wanazimia
Meneo kibao msosi bukuKwa hali ilivyo bado kuna wanaouza msosi buku darasalama?
Ah sawasawa mzee mapambano tu. Muhimu siku zinakwenda kidogokidogo hivyohivyo. Mpakani kuna fursa gan huko? Vijana wana mitaji humu hawana exposure wanang'ang'ania dar alaf haiwalipi.Nipo Kaka ,sema siku mbili hizi nilikuwa mpakani huko niliipata mteja wa vidonge vya Arvs ikabidi nimpelekee Kaka nisije kufa njaa kwa watu huku
Kipato kikiwamba mkuu unajishindilia tu πUsipendelee kula vyakula vya bei chee hasa uswahilin.
Ni bora nishinde njaa ila maeneo haya ya uswazi nitatafuta atleast hotel inayoeleweka ndio nile kama nimebanwa sana.
Juice ya miwa napenda ila nawazaga sana wanavyokamua pale na ile mchanganyo na barafu..ila pia kweli hali ngumu , sasa misosi ya buku au msosi chini ya 2000 sh lolote linawezekana ..nyama kwasukwasu, nyanya kwasu, mchele ovyo..kula vya jana vilivyochanganywa na vya leo..ndo mana madiko diko huwa mengi ili kuficha mambo ya radha na harufuHapo mchawi anaweza kuwa Pilau (limechacha kisha likafufuliwa kwa kupikwa upya kwa madiko diko mengine ili kukata mchacho) au hiyo Juice ya miwa (maana usafi wake huwa ni mgumu).
Hii kama Mbagala nini pale fremu za kanisa la Romaππππ€£Hali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Mbagala hii kawaida sana.........Mbagala ndio sehemu pekee ndani ya Tanzania buku 10 unaweza toboa wikiKwa hali ilivyo bado kuna wanaouza msosi buku darasalama?
Hapana hapana mdogo angu. Umeona sasa matokeo yake.. ulishindwa bas hata kuomba upimiwe chips za 1500 zimetoka jikon unywe na Afiya au maji ya 500???Kipato kikiwamba mkuu unajishindilia tu π
Juisi za miwa usafi sio standard japo uchafu ule sio wa kukera au kumpeleka mtu kitandani. Lakin pale kuna muingiliano mkubwa sana na wadudu hasa nzi wa njano na usafi wa miwa au mashine. Mana mashine zinalala nje na miwa haioshwi inaparwa tuJuice ya miwa napenda ila nawazaga sana wanavyokamua pale na ile mchanganyo na barafu..ila pia kweli hali ngumu , sasa misosi ya buku au msosi chini ya 2000 sh lolote linawezekana ..nyama kwasukwasu, nyanya kwasu, mchele ovyo..kula vya jana vilivyochanganywa na vya leo..ndo mana madiko diko huwa mengi ili kuficha mambo ya radha na harufu
Ushaanza sasa! Sijaja kuharibu biashara ya mtu mkuu. Unapita pita mazingira yale? Mm pale njia yangu kila siku naishi hapa chini ya kanisaHii kama Mbagala nini pale fremu za kanisa la Romaππππ€£