Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

Hali hii leo mbona kazi ipo!

Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.

Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.

Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea

Dua zenu wazee
🤣🤣🤣🤣 Ukome
 
jamaa washenzi sana kuna siku nilimshanga vipi mbona nzi wengi kuzidi nyuki nikahisi kuna mkono wa mtu huwenda yule muuza juisi alingilia route ya mwenzake wallah
🤣🤣Nilivyogundua mixer nzi zinasagwa niliachaga kabisa hizo juice. ..Hata hajaingilia route juice ya muwa inatengenezwa mazingira sio salama kabisa
 
🤣🤣Nilivyogundua mixer nzi zinasagwa niliachaga kabisa hizo juice. ..Hata hajaingilia route juice ya muwa inatengenezwa mazingira sio salama kabisa
Juisi ya miwa unainywea wapi? Sehem zenye watu wengi sana usafi unapungua mana inapelekwaga mpera mpera. Unakutana na mkamua juisi kaloa jasho
 
Masaki ya wapi? Mbona nasikia kule wanakusagia hapohapo matunda masafi, mazima kabisa
Masaki hiyo hiyo Mkuu

Naogopa kuharibu biashara za watu, ila nahisi walitumia Maji ya bomba kutengeneza ile juicy pasipo kuyachemsha.

Binafsi nikinywa juice za namna hiyo, tumbo langu lina-react haraka sana Kwa kuanza kuniuma.
 
Hali hii leo mbona kazi ipo!

Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.

Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.

Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea

Dua zenu wazee
Itakuwa supu ya fisi si bure
 
Pole sana mzee, rahisi huwa ni ghali.
Tatizo wanapika nichuzi mizito kwa masalo. Chuzi ukiliona mbali linaita kwelikweli.. na kuna kiungo nimekiskia kinaitwa "Ladha" kinauzwa 200.. ndo nimekijua leo
 
Back
Top Bottom