Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hospitali za private huwa wako kibiashara zaidi utakavyokuja ndivyo utakavyopimiwa.Kivipi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hospitali za private huwa wako kibiashara zaidi utakavyokuja ndivyo utakavyopimiwa.Kivipi mkuu
Mbagala hii kawaida sana.........Mbagala ndio sehemu pekee ndani ya Tanzania buku 10 unaweza toboa wiki
Sawa mkuuHapana hapana mdogo angu. Umeona sasa matokeo yake.. ulishindwa bas hata kuomba upimiwe chips za 1500 zimetoka jikon unywe na Afiya au maji ya 500???
Kuna time lazima ujipe thaman bila kujali hali ulionayo.
Mtaji pekee wa masikin ni afya.
SIchezagi michezo ku mess up na afya yangu.
Sasa si promotion mzeeneno pilau la buku machale hayakukucheza tuh
😂😂😂😂Nikikumbuka unaambiwa poti wacha kusema UNAHARISHA sema UNAKUNYA HARAKA HARAKA waziiii
hilo limebaki kwenye masherehe na migahawa mikubwa ni kwajili ya nguruwe sema baadhi hulichepusha na kuliuza kwa buku limetembelewa na mende wa chooni kijana wanguSasa si promotion mzee
Pole Sana utaponaHali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Hizo 600 hadi bukuInauzwa kias gan hiyo?
Kwemye kwato nyama zinatoka wapi au hujawahi kufatilia wanakulisha nn?Hizo 600 hadi buku
Kuna tabia nyingine kuzidhibiti ni ngumu mana zimefungamana na umaskini. Sasa hiyo si ni kama kuuza mifupa ya kuku? Ulishwahi kuona mapaja ya kuku yamenyonyogwa yanakaangwa na kupangwa fungu?hilo limebaki kwenye masherehe na migahawa mikubwa ni kwajili ya nguruwe sema baadhi hulichepusha na kuliuza kwa buku limetembelewa na mende wa chooni kijana wangu
hayo sijayashuhudiaKuna tabia nyingine kuzidhibiti ni ngumu mana zimefungamana na umaskini. Sasa hiyo si ni kama kuuza mifupa ya kuku? Ulishwahi kuona mapaja ya kuku yamenyonyogwa yanakaangwa na kupangwa fungu?
Hii, hata ukitaka fungu kesho nikuelekeze ukanunue. Inauzwa hivyohivyo sijui alikula nan kabakisha ndo unauziwa wewehayo sijayashuhudia
aisee mbaya sana hiiHii, hata ukitaka fungu kesho nikuelekeze ukanunue. Inauzwa hivyohivyo sijui alikula nan kabakisha ndo unauziwa wewe
Nzi hana tabu yoyote yule akisagiwa anakutana na tangwizi mule na ndimu kwisha kaz. Pilau linabakia kila siku na halimwagwi 🤣Jamani tunaweza kulaumu pilau kumbe tatizo juice ya muwa,zile juice zinasagiwa sana nzii....
jamaa washenzi sana kuna siku nilimshanga vipi mbona nzi wengi kuzidi nyuki nikahisi kuna mkono wa mtu huwenda yule muuza juisi alingilia route ya mwenzake wallahJamani tunaweza kulaumu pilau kumbe tatizo juice ya muwa,zile juice zinasagiwa sana nzii....
dhati wa aLa vyuu ✍️🔥Na linashushiwa na soda ya vimto na mwanamme shurti uwe umevaa msuli